UmepoteaUkiondoa Dar, Arusha inafuatia kuwa na uwekezaji mzuri kwenye huduma za afya.
Walau pia nafasi ya kuokoa maisha yako ni kubwa sana kwa kupata matibabu sahihi.
Unajichosa sana we dogoMkeka huo hata ukiukataa upo wa NBS KabisaView attachment 2528920View attachment 2528922View attachment 2528923
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nini kumbe...,,,unapopima regional wealth una option ya kutumia methods tatu ,,,1 inaitwa income approach hapa unajumlisha vipato na mapato yote ya watu ,taasisi nk..2 unatumia expenditure approach (unaangalia matumizi yote yaliyofanyika ndani ya mkoa .3 output method (thamani ya bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya mkoa ...
So unatofautishaje pato la mkoa na utajiri?Nini kumbe...,,,unapopima regional wealth una option ya kutumia methods tatu ,,,1 inaitwa income approach hapa unajumlisha vipato na mapato yote ya watu ,taasisi nk..2 unatumia expenditure approach (unaangalia matumizi yote yaliyofanyika ndani ya mkoa .3 output method (thamani ya bidhaa na huduma zilizozalishwa ndani ya mkoa ...
Usiwe mjinga ,,,.... elimu hii ni Bure tu ukijua kutumia bando lako vizuri sio lazima uende school of economics
Sent using Jamii Forums mobile app
Jinga kweli, halijui JNICC, ni branch ya AICC.Sa hv tourism sector sio centralized kama zamani kuwa Kila kitu Arusha ... maeneo mengine ya utalii yanazidi kupata momentum,,kama Zanzibar, mwanza, Kilimanjaro, Morogoro,na iringa..
Habari za Arusha zinapitwa na wakati kama huamini subiri baada ya miaka 5 ..
Zamani AICC ilikuwa inawabeba lakin sa hv baada ya kufunguliwa Kwa JNICC , mikutano mingi inaishia dar ,,, dodoma na wao wanajenga conference center kubwa ,the same applies to Mwanza..
Sent using Jamii Forums mobile app
Resort unafaham maana yake? Unaifaham the gran melia? Mount meru? Hapo mwanza hakuna takataka yoyote inayokuta hizo.Bata gan mlilonalo ,,,,au shivazi [emoji28][emoji28].. mwanza unapata Kila burudani unayoitaka ,,,,,, nitajie resorts 3 Kali hapo Arusha nilefts Uzi [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla sijakujibu ,,,niambie nini maana ya Pato ,,,au kipi kinakufanya uitwe Tajiri[emoji28]So unatofautishaje pato la mkoa na utajiri?
Utajiri ni nn kwanza
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nimekuambia resorts sijasema hotel mmResort unafaham maana yake? Unaifaham the gran melia? Mount meru? Hapo mwanza hakuna takataka yoyote inayokuta hizo.
Pato ni kiasi cha fedha kilichozalishwa kutokana na shughuli halali kwa kipindi husika, shughuli za uzalishaji eg bidhaa zilizouzwa za viwanda,mazao nkKabla sijakujibu ,,,niambie nini maana ya Pato ,,,au kipi kinakufanya uitwe Tajiri[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili uitwe Tajiri unatakiwa uwe na niniPato ni kiasi cha fedha kilichozalishwa kutokana na shughuli halali kwa kipindi husika, shughuli za uzalishaji eg bidhaa zilizouzwa za viwanda,mazao nk
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sasa kama akiba anayo dewji nyinyi mnagawanywa pesa zake kwa makaratasi sio uhalisia, dar kuna matajiri wengi na watu wengi wana vipato hafifu, kitakwimu wanabebwa na matajiri kiuhalisia ndoto, ndio maana mimi huwa sisumbuki na takwimu
Hizi nyumba hapa Chugga ni nyingi ndani ya 3km kutoka center unakutana nazoKuna mtu anapenda post nyumba za igogo,
Hivi ndio Geneva yenyewe
Kwenye hiyo video kuna hili[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2529105
Oyo ndio world standard ila kikubwa wewe binafsi uwe na maisha mazuri ndio ina make sense zaidiSasa kama akiba anayo dewji nyinyi mnagawanywa pesa zake kwa makaratasi sio uhalisia, dar kuna matajiri wengi na watu wengi wana vipato hafifu, kitakwimu wanabebwa na matajiri kiuhalisia ndoto, ndio maana mimi huwa sisumbuki na takwimu
Kumepoaa