Kwa akili yako unafikiri viwanja vyao Arusha hatuvijui mpaka shupaze shingo kutudanganya hapa?Sababu ni vitu vya kawaida sana arusha, nobody is thrilled, hatushtuki ndio maana ata picha hatupigi. Ila sasa mwanza bado mpo kwenye phase ya wow kwa kila kitu, mmeanza kuona hivo vitu jana tu. WASHAMBA, google basi ata arusha kwenye travel advisor au booking.com, au nenda directly kwenye google uandike chochote. Au kama unapenda sana picha ingia instagram mkatolewe tongotongo. Washamba wa Mwanza, ndio maana mnadharauliwa nchi nzima. Ukisema tu unatoka mwanza tayari wanajua hakuna maajabu.
We fala kumbe, rustic. Endelea kuvuta bangi ubongo ujae ukungu wa Moshi ili ujinga wako uendelee kuimarika.Sababu ni vitu vya kawaida sana arusha, nobody is thrilled, hatushtuki ndio maana ata picha hatupigi. Ila sasa mwanza bado mpo kwenye phase ya wow kwa kila kitu, mmeanza kuona hivo vitu jana tu. WASHAMBA, google basi ata arusha kwenye travel advisor au booking.com, au nenda directly kwenye google uandike chochote. Au kama unapenda sana picha ingia instagram mkatolewe tongotongo. Washamba wa Mwanza, ndio maana mnadharauliwa nchi nzima. Ukisema tu unatoka mwanza tayari wanajua hakuna maajabu.
Maanake ni kwamba mikoa mingine inategemea uchumi wa kilimo
Kunywa soda mangi ntalipaSababu ni vitu vya kawaida sana arusha, nobody is thrilled, hatushtuki ndio maana ata picha hatupigi. Ila sasa mwanza bado mpo kwenye phase ya wow kwa kila kitu, mmeanza kuona hivo vitu jana tu. WASHAMBA, google basi ata arusha kwenye travel advisor au booking.com, au nenda directly kwenye google uandike chochote. Au kama unapenda sana picha ingia instagram mkatolewe tongotongo. Washamba wa Mwanza, ndio maana mnadharauliwa nchi nzima. Ukisema tu unatoka mwanza tayari wanajua hakuna maajabu.
Watu elfu 15 kati ya watu milioni 2.4 ,,,au tuseme labor force ni watu milion 1.,,hao elfu 15 ndio viwandani . calculate percentageMaanake ni kwamba mikoa mingine inategemea uchumi wa kilimo
Mkoa wako una wafanyakazi wa viwandani wangapWatu elfu 15 kati ya watu milioni 2.4 ,,,au tuseme labor force ni watu milion 1.,,hao elfu 15 ndio viwandani . calculate percentage
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa Arusha mmekosa content aisee [emoji28][emoji28][emoji28]..sa hv mnatafuta useless things kutetea perception zenu[emoji28]Mkoa wako una wafanyakazi wa viwandani wangap
Taarifa nyepesi kama ile umeshindwa kuielewa kweli?Watu elfu 15 kati ya watu milioni 2.4 ,,,au tuseme labor force ni watu milion 1.,,hao elfu 15 ndio viwandani . calculate percentage
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani ungeniletea takwimu za viwanda,ningekuelewa then unambie pwani iwe viwanda vidogo kuliko babati manyara [emoji28][emoji28][emoji28]Taarifa nyepesi kama ile umeshindwa kuielewa kweli?
Yaani iyo ndio mikoa ambayo inaviwanda vingi kwa kifupi...Sasa Mwanza jiji la pili kwa ukubwa linakuaje halina viwanda?unajua nikisema mm mtasema nawatukana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Iyo ilikua 2016...Nadhani ungeniletea takwimu za viwanda,ningekuelewa then unambie pwani iwe viwanda vidogo kuliko babati manyara [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo na takwimu ya sas kama hio ni 2016
Wakubwa ili tuende sawa nikileta taarifa nenda kahangaike na Google uje na yako ambayo unaona ina I favor mwanza...haiwezekani mimi nikuletee taarifa zoteNjoo na takwimu ya sas kama hio ni 2016
Ni ujinga kutumia taarifa ya 2016 huku ukithibitisha taarifa ya sas ipo.Wakubwa ili tuende sawa nikileta taarifa nenda kahangaike na Google uje na yako ambayo unaona ina I favor mwanza...haiwezekani mimi nikuletee taarifa zote
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Tuletee unayoitaka weweNi ujinga kutumia taarifa ya 2016 huku ukithibitisha taarifa ya sas ipo.
Kama unajua pwani inaongoza saiv why ulete taarifa ya zaman kama sio wehu ni nin.