shabanmbarak
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 1,178
- 1,150
Correct your trashy.
Naona mnawadanganya ambao hawajafika mwanza bhana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kama hyo mall inabeba space za aim mall Mara tatu ..bas inatosha kabisa hata kuhudumia nchi.[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
HuvijuiKwa akili yako unafikiri viwanja vyao Arusha hatuvijui mpaka shupaze shingo kutudanganya hapa?
Leta latest. Maskini wa mwanzaNi ujinga kutumia taarifa ya 2016 huku ukithibitisha taarifa ya sas ipo.
Kama unajua pwani inaongoza saiv why ulete taarifa ya zaman kama sio wehu ni nin.
Taarifa ya mlevi mmoja katoka kulewa mbege, leta vyanzo vya kuamonika, unaleta habari iliandaliwa na mwanadada aliachwa na mumewe.
PoleTaarifa ya mlevi mmoja katoka kulewa mbege, leta vyanzo vya kuamonika, unaleta habari iliandaliwa na mwanadada aliachwa na mumewe.
HizapoLeta latest. Maskini wa mwanza
HaaaaaaaNaona mnawadanganya ambao hawajafika mwanza bhana[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Iyo mall sasa hivi imegeuzwa madarasa ya wanafunzi kwa kukosa tenants.....mda si mrefu wataweka na hostel kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
Zitatoka mdogo mdogo
Ambacho najiuliza ni inakuaje arusha peke yake inakusanya zaidi ya mikoa yote ya kanda ya ziwa ukiichanganya??? Hivi hii mikoa iko serious kweli
Mwanza is a waste of energy and time. Hakuna mwekezaji smart ataenda sehemu ipo backward hivo. Mtabaki na pagala. Karibu kili marsthon huku utoe ushamba.Kama hyo mall inabeba space za aim mall Mara tatu ..bas inatosha kabisa hata kuhudumia nchi.[emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijipande kidogo sana alfu hiko. 🤣🤣Arusha downtown View attachment 2526960View attachment 2526961View attachment 2526962
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Wapige hao wazee wa leta picha. Washamba hoi.Ambacho najiuliza ni inakuaje arusha peke yake inakusanya zaidi ya mikoa yote ya kanda ya ziwa ukiichanganya??? Hivi hii mikoa iko serious kweliView attachment 2530961
Hili nilishaeleza sana kamanda, uchumi unapimwa kwa gdp sio hizo blah blahAmbacho najiuliza ni inakuaje arusha peke yake inakusanya zaidi ya mikoa yote ya kanda ya ziwa ukiichanganya??? Hivi hii mikoa iko serious kweliView attachment 2530961
Hii takwimu yako inaelezea wingi wa vibarua au viwanda mbona uliyetuletea pia hujui umetuma niniTaarifa nyepesi kama ile umeshindwa kuielewa kweli?
Yaani iyo ndio mikoa ambayo inaviwanda vingi kwa kifupi...Sasa Mwanza jiji la pili kwa ukubwa linakuaje halina viwanda?unajua nikisema mm mtasema nawatukana
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kwa kweli huo ni upumbavuNi ujinga kutumia taarifa ya 2016 huku ukithibitisha taarifa ya sas ipo.
Kama unajua pwani inaongoza saiv why ulete taarifa ya zaman kama sio wehu ni nin.
Huna akili usiniquote bhanaHuvijui
Kwa kli huo ni upumbavu
Washamba mmepigwa kwenye mshono 🤣🤣🤣 mmeanza kuona mall juzi tena moja tu ndio mje mjilinganishe na arusha kweli? 🤣 Shamba city boys bana.Huna akili usiniquote bhana
Kwani Arusha Ina mall au ware house?. Acha ulofa basi dogo.Washamba mmepigwa kwenye mshono 🤣🤣🤣 mmeanza kuona mall juzi tena moja tu ndio mje mjilinganishe na arusha kweli? 🤣 Shamba city boys bana.