Nikajua Iringa.Msifananishe Mwanza na mbuga za wanyama please.View attachment 2532677View attachment 2532678View attachment 2532679View attachment 2532680View attachment 2532681View attachment 2532682View attachment 2532683
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikajua Iringa.Msifananishe Mwanza na mbuga za wanyama please.View attachment 2532677View attachment 2532678View attachment 2532679View attachment 2532680View attachment 2532681View attachment 2532682View attachment 2532683
Ayo mawe mnayala watani zangu[emoji3]Msifananishe Mwanza na mbuga za wanyama please.View attachment 2532677View attachment 2532678View attachment 2532679View attachment 2532680View attachment 2532681View attachment 2532682View attachment 2532683
Capitol of the East African Community. Koma kabisa na limwanza lako. Kaa mbali.Ziara za viongoz wa serikal mwanza zinatosha kuonesha influence ya hili jiji takatifu hapa Tanzania [emoji3]
Iringa kuna mpangilio buanaNikajua Iringa.
Sasa na nyie hiki ndio nini[emoji38][emoji38]Nikajua Iringa.
Kwa taarifa yako Iringa na Arusha hakuna tofauti yoyote. Na miji hii miwili ukiiunganisha bado haifikii MwanzaIringa kuna mpangilio buana
Ndio maana tunafchaga kwa majirani zetu wasijue mwanza ni jiji manake ni aibu[emoji2958]
Angalia greenery huo msitu uko katkat ya mjiSasa na nyie hiki ndio nini[emoji38][emoji38]View attachment 2532689
Ila hapa ni tanzania kwel[emoji1241]Angalia greenery hiyo msitu uko katkat ya mji
Ulaya pekee iliyoko tz na huko katikati kuna parks watu wanakaa kwa kujidaiView attachment 2532692
Hicho ni kitu cha kawaida, hata Ndanda, Mtwara kuna misitu tena kuliko A-townAngalia greenery hiyo msitu uko katkat ya mji
Ulaya pekee iliyoko tz na huko katikati kuna parks watu wanakaa kwa kujidaiView attachment 2532692
Mtwara gani tenaHicho ni kitu cha kawaida, hata Ndanda, Mtwara kuna misitu tena kuliko A-town
Mwanza hii[emoji116][emoji116]Ila hapa ni tanzania kwel[emoji1241]
Hapana tangu lini binadamu akala mawe, we wa wapi ww[emoji38][emoji38]Mtwara gani tena
Na hapa tunaongelea arusha
Na nmekuuliza hayo mawe huko ziwani uliyonitumia hua mnakula?
Kwenye mshono [emoji23][emoji23]Msifananishe Mwanza na mbuga za wanyama please.View attachment 2532677View attachment 2532678View attachment 2532679View attachment 2532680View attachment 2532681View attachment 2532682View attachment 2532683
Mnatia huruma[emoji3]Kwenye mshono [emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3]Hapana tangu lini binadamu akala mawe, we wa wapi ww[emoji38][emoji38]
Nyinyi ndio mnatia huruma, nawauliza hiki ndo nini[emoji38][emoji38]Mnatia huruma[emoji3]
Naona unantumia midoli ya twiga na pundamiliaMwanza hii[emoji116][emoji116]
Hivi hapa ni Tanzania kweli [emoji1241]View attachment 2532694
Ulaya hii hii yakina Paris au unazungumzia ulaya ipi kaka [emoji23][emoji23][emoji23]Yes bro
Ulaya pekee ilioko tanzania [emoji1241]
Tafta pesa uje utembee mkuu na usifikie ngarenaro [emoji3]
Kassa Zoo ParkNaona unantumia midoli ya twiga na pundamilia
Njoo arusha uone wanyama live live
Hivi mwanza nzima kuna zoo kweli[emoji15]
Umeua[emoji3][emoji3][emoji3]Ulaya hii hii yakina Paris au unazungumzia ulaya ipi kaka [emoji23][emoji23][emoji23]