Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Nikajua Iringa.
Sasa na nyie hiki ndio nini[emoji38][emoji38]
JamiiForums1310075288.jpg
 
Iringa kuna mpangilio buana

Ndio maana tunafchaga kwa majirani zetu wasijue mwanza ni jiji manake ni aibu[emoji2958]
Kwa taarifa yako Iringa na Arusha hakuna tofauti yoyote. Na miji hii miwili ukiiunganisha bado haifikii Mwanza
 
Yes bro

Ulaya pekee ilioko tanzania [emoji1241]

Tafta pesa uje utembee mkuu na usifikie ngarenaro [emoji3]
Ulaya hii hii yakina Paris au unazungumzia ulaya ipi kaka [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom