Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hapa kwa ujenzi wa soko nawapongeza kwa kutangulia kukamilisha, Arusha tunatarajia kuwa na masoko mawili makubwa ya kisasawa

Hapa kwa ujenzi wa soko nawapongeza kwa kutangulia kukamilisha, Arusha tunatarajia kuwa na masoko mawili makubwa ya kisasa
Sasa kaka mwanza ilemela nayo tayar linajengwa soko kubwa pale palikuwa stand ya MABUS buzuruga na Hela tayar na wakandaras wanaanza mwezi wa nne ni kubwa kama la nyamagana, pia nyamagana watakuwa na soko tena buhongwa na lilitangazwa siku ya maazimisho ya CCM. Yaliyofanyikia hapa jijini
 
Hapa kwa ujenzi wa soko nawapongeza kwa kutangulia kukamilisha, Arusha tunatarajia kuwa na masoko mawili makubwa ya kisasa
Mwanza tunatarajia kua na masoko manne makubwa ya kisasa soko kuu ujenzi 85%,kirumba 30% bado buswelu,igoma na buhongwa [emoji1787]

Kila kitu Mwanza iko juu
 
Aah hatua nzuri kwaiyo jumla yatakuw mawili sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…