Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Mkuu kuwepo sio shida ...ila angalia tangu Magu afe spidi ya mkoa huo imepungua mno ..na watu wanatoka huko wanasema hamna biashara kabisa...kuhusu lami sijui kwa tanzNia kama Kuna mkoa wa kuzidi K'njaro kwa bara bara za lami ..asee K'njaro asilimia kubwa ya ule mji uko na lami
Kaka siwafagilii dodoma sjui niaje ila ukifika utaona lami wako nazo porini sema mji mdogo ndo hizo Barabara zafanya ionekane Iko gud, hayat alipendelea mno dodoma
 
By night
IMG-20230203-WA0000.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuwepo sio shida ...ila angalia tangu Magu afe spidi ya mkoa huo imepungua mno ..na watu wanatoka huko wanasema hamna biashara kabisa...kuhusu lami sijui kwa tanzNia kama Kuna mkoa wa kuzidi K'njaro kwa bara bara za lami ..asee K'njaro asilimia kubwa ya ule mji uko na lami
Kwenye lami upande wa CBD mwanza iko vizuri zaidi kuliko CBD ya Arusha.
 
Back
Top Bottom