Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Sasa Pale unaonaje palivochangamka brother ..japo Ngaramtoni sipajui fresh ila pamechangamkaa sanaaNgaramtoni ya Juu, au hata Mji mdogo wa Ngaramtoni...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Pale unaonaje palivochangamka brother ..japo Ngaramtoni sipajui fresh ila pamechangamkaa sanaaNgaramtoni ya Juu, au hata Mji mdogo wa Ngaramtoni...
Watu wa Mwanza mbona mmekumbia si mlijinadi nyie kuwa Kuna mijengo na maghorofa ..kumbe ghorofa lenu ndo ilo moja la NSSF mnalolipiga kwa kila engoSasa Pale unaonaje palivochangamka brother ..japo Ngaramtoni sipajui fresh ila pamechangamkaa sanaa
Kumbe ata hujui maana ya international school, unadhani kila shule inayofundisha kwa kingereza ni international 🤣🤣 kazi kwelikweli.B
Bro zipo Zaid ya kumi hivi kumbe hat mwanz huijui wenzako bila kupaendelea watakujibu
Kuna lorete,isamilo,mwanza,buswelu, lake nk watamalizia wenzagu
Mnarudiarudia, kweli mwanza bila hiyo takataka rock city mall sijui mngejifungia wapi.Wakati likiendelea kuwa hatua za mwisho Hilo Banda ..[emoji116]
Nitafutie location Kali kama hii hapo mandizini Town [emoji28]View attachment 2544922View attachment 2544923
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaua washamba. Leo wote wapo rock city mall wanapiga picha🤣🤣Arusha Private Charlet[emoji3059]View attachment 2544966
Pamechangamka kiasi chake...Sasa Pale unaonaje palivochangamka brother ..japo Ngaramtoni sipajui fresh ila pamechangamkaa sanaa
We malaya jike soma vzr thread huko tushatoka ukiingiajitahid kupitia thread usikurupke PWAGU eweKumbe ata hujui maana ya international school, unadhani kila shule inayofundisha kwa kingereza ni international 🤣🤣 kazi kwelikweli.
Leta picha ya serenaYani Chuki kivipi?! Yan ufananishe Malaika na Serena una akili kweli wewe?!
Serena inabebwa na Jiji mkuu usikariri unaweza Kuta at Arusha Kuna hoteli mandhar nzur tu kupita Serena sema Serena wanainadi sana kupitia Jiji halafu hyo mmiliki mhuni TU anakwepag Kodi Hivi unaijua Serena ni Sheraton? Anachange jina TU siku akija rais KICHWA atalipa Kodi miaka 50Yani Chuki kivipi?! Yan ufananishe Malaika na Serena una akili kweli wewe?!
Lami sio anasa kaka kwamba ipite Kwa mataita TUSasa hata Arusha lami Iko kina mahali mfano mimi kwetu ni maeneo ya uswazi tu lakin lami imepita
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata kwenye barabara za lami kwa jiji Mwanza lazima ukimbieYaaani kivipi? Aseee Arusha Kuna lami mpaka mitaani na sio mitaa ya matajiri ...Hadi mitaa ya maskin lami kunazo
Mwanza wapi hakuna lami, arusha ni kamji kadogo sana kwa MwanzaSasa hata Arusha lami Iko kina mahali mfano mimi kwetu ni maeneo ya uswazi tu lakin lami imepita
Niletee video kama hiiYaaani kivipi? Aseee Arusha Kuna lami mpaka mitaani na sio mitaa ya matajiri ...Hadi mitaa ya maskin lami kunazo
Hyu mwanaKE ni wa kupuuza hawezi ushindani zaidi atatoa Matusi na hekaya zake et*washamba. Me hata sihangaiki naeKenge mjamzito soma thread huko tushamaliza usituludishe nyuma malaya wa kike ew
Eti 'usituludishe' yani kenge ata r nal l zinamshinda? Waste of time takatakaKenge mjamzito soma thread huko tushamaliza usituludishe nyuma malaya wa kike ew
Mkuu inamana Serena Hotel ya Dar huijui?!Leta picha ya serena
Serena Sio Sheraton bana ...Sheraton ni wengine nadhan ni Hawa wamiliki wa hospital hizi za kihindi ni WA PakistanSerena inabebwa na Jiji mkuu usikariri unaweza Kuta at Arusha Kuna hoteli mandhar nzur tu kupita Serena sema Serena wanainadi sana kupitia Jiji halafu hyo mmiliki mhuni TU anakwepag Kodi Hivi unaijua Serena ni Sheraton? Anachange jina TU siku akija rais KICHWA atalipa Kodi miaka 50
Tuzione mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata kwenye barabara za lami kwa jiji Mwanza lazima ukimbie
Kamji kadogoo kwa mantiki ipi ...Mimi Leo sitaki maelezo lete picha ,niweke picha ...nishasema maneno kidogoo vitendoo zaidMwanza wapi hakuna lami, arusha ni kamji kadogo sana kwa Mwanza