Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Njia za waenda kwa miguu kivipiYaani Arusha cbd bado wana barabara zina mitaro iliyo wazi ndani ya jiji, na hazina njia za watembea kwa miguu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia za waenda kwa miguu kivipiYaani Arusha cbd bado wana barabara zina mitaro iliyo wazi ndani ya jiji, na hazina njia za watembea kwa miguu
Nitajie route ya masaa mawili hapo arusha utanielewa ninachomaanisha,,, kata mbili za nyakato na kirumba zinatosha kwa ligi na arushaKamji kadogoo kwa mantiki ipi ...Mimi Leo sitaki maelezo lete picha ,niweke picha ...nishasema maneno kidogoo vitendoo zaid
Mkuuu Mimi sihutaji maneno mengi ...wewe uje nikutembeze ...hapo juu nimekutumia majibu ya AI chatGTP yanajielezaNitajie route ya masaa mawili hapo arusha utanielewa ninachomaanisha,,, kata mbili za nyakato na kirumba zinatosha kwa ligi na arusha
Umeanza kutumia hadi marobot[emoji3][emoji3] infrastructure gani zipo arusha?Mkuuu Mimi sihutaji maneno mengi ...wewe uje nikutembeze ...hapo juu nimekutumia majibu ya AI chatGTP yanajieleza
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tumia akili japo kidogoWatu wa Mwanza najua hii sio habari nzuri kwenu ila inabidi muipokee ..Leo nimejaribu kuchati Na AI ya ChatGTP na majibu yake yalikuwa ni haya[emoji1484]View attachment 2545935
Bus terminal,airport na railway station [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu wa Mwanza najua hii sio habari nzuri kwenu ila inabidi muipokee ..Leo nimejaribu kuchati Na AI ya ChatGTP na majibu yake yalikuwa ni haya[emoji1484]View attachment 2545935
Hauna kifua cha kubattle na Mwanza nyakato hioMkuuu Mimi sihutaji maneno mengi ...wewe uje nikutembeze ...hapo juu nimekutumia majibu ya AI chatGTP yanajieleza
Hii Slums bro ndo unaleta hapa?!Hauna kifua cha kubattle na Mwanza nyakato hioView attachment 2545966
Brother kubali ukatae hapo tumewapiga baoUmeanza kutumia hadi marobot[emoji3][emoji3] infrastructure gani zipo arusha?
Hilo robot limekwambia arusha kuna bus terminals zitaje?Brother kubali ukatae hapo tumewapiga bao
Aliekwambia hio slum nani[emoji1787][emoji1787] haya zoom hiii pichaHii Slums bro ndo unaleta hapa?!
Atleast hii mkuuAliekwambia hio slum nani[emoji1787][emoji1787] haya zoom hiii pichaView attachment 2545980
Watu wa Mwanza najua hii sio habari nzuri kwenu ila inabidi muipokee ..Leo nimejaribu kuchati Na AI ya ChatGTP na majibu yake yalikuwa ni haya[emoji1484]View attachment 2545935Hii taarifa ipo Biased kwa kuanza tuu na Bus terminals, Airport na railway station. Arusha mna Bus terminals nzuri kuzidi Mwanza?, mna Airport nzuri kuzidi Mwanza? Mna station nzuri kuzidi Mwanza?, Arusha kuna Roads nzuri kuzidi Mwanza?, kama zipo lete tuone hapo kwenye upande wa Hotel somehow naweza a amini but hivo vingne hapana
Niijue ili iweje, leta picha wengine ata dar tunaisikia leo.Mkuu inamana Serena Hotel ya Dar huijui?!
Huyo jamaa alikuwa na mahaba na arusha et arusha ina good transpotation system kwa vipanya vilw, barabara zenye mashino, no pavements, hakuna walksides ni ovyo kabisaa, kuna route gani hapo ya kuvutia ndani ya hako kazizi.Watu wa Mwanza najua hii sio habari nzuri kwenu ila inabidi muipokee ..Leo nimejaribu kuchati Na AI ya ChatGTP na majibu yake yalikuwa ni haya[emoji1484]View attachment 2545935
Savannah international schoolBrother unajua mana ya international schools?! International schools kwa Bongo zinajulikana na zinahesabika