KONK MASTER
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,223
- 512
Kaka siwafagilii dodoma sjui niaje ila ukifika utaona lami wako nazo porini sema mji mdogo ndo hizo Barabara zafanya ionekane Iko gud, hayat alipendelea mno dodomaMkuu kuwepo sio shida ...ila angalia tangu Magu afe spidi ya mkoa huo imepungua mno ..na watu wanatoka huko wanasema hamna biashara kabisa...kuhusu lami sijui kwa tanzNia kama Kuna mkoa wa kuzidi K'njaro kwa bara bara za lami ..asee K'njaro asilimia kubwa ya ule mji uko na lami
Sio state hapa ni ArushaYani hata hatilie mkazo mkuu ..ujue dodom Ina hali ya ujangwa sana ...sasa nani atakaa kwenye ardhi ambayo ..hata kwa kilimo tu ni shida
Yani hata hatilie mkazo mkuu ..ujue dodom Ina hali ya ujangwa sana ...sasa nani atakaa kwenye ardhi ambayo ..hata kwa kilimo tu ni shida
Wacha tusubiri tuoneKaka siwafagilii dodoma sjui niaje ila ukifika utaona lami wako nazo porini sema mji mdogo ndo hizo Barabara zafanya ionekane Iko gud, hayat alipendelea mno dodoma
Hope Ghana ... itakuwa sura ya jiji soon
Kaka ushawah kuja mwanza lakiWacha tusubiri tuone
Nilishatembelea Igogo Kuna niliwah date na Dem wa pande izo Ila anasili kama ya kisomali ,kinyarwanda flani...Ila muda kidogKaka ushawah kuja mwanza laki
Hii ishaletwa
Njoo tena kaka πππNilishatembelea Igogo Kuna niliwah date na Dem wa pande izo Ila anasili kama ya kisomali ,kinyarwanda flani...Ila muda kidog
Hii ishaletwa
Hii ishaletwa
Kwenye lami upande wa CBD mwanza iko vizuri zaidi kuliko CBD ya Arusha.Mkuu kuwepo sio shida ...ila angalia tangu Magu afe spidi ya mkoa huo imepungua mno ..na watu wanatoka huko wanasema hamna biashara kabisa...kuhusu lami sijui kwa tanzNia kama Kuna mkoa wa kuzidi K'njaro kwa bara bara za lami ..asee K'njaro asilimia kubwa ya ule mji uko na lami
Mim Huwaga napendaga exposure ...nikwamba naanda Tena bajeti nije pande hizoNjoo tena kaka [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii thread pitia comment jamaa alikosolewa sana ..na kwa mantiki hii inaonesha mwanza bado sana kwenye upande wa good place na exposure
Yaaani kivipi? Aseee Arusha Kuna lami mpaka mitaani na sio mitaa ya matajiri ...Hadi mitaa ya maskin lami kunazoKwenye lami upande wa CBD mwanza iko vizuri zaidi kuliko CBD ya Arusha.
Hao wakosoaji wengi ni haters wa jiji la Mwanza waliojaa chuki na wivu wa kijinga.Hii thread pitia comment jamaa alikosolewa sana ..na kwa mantiki hii inaonesha mwanza bado sana kwenye upande wa good place na exposure