Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hizi topic huwa inakera? Wanaozianzisha sijui wanawaza nn na wana umri gani?
 
Mwanza mnasoma figures za Arusha lakini? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220803-092910.png
    43.1 KB · Views: 18
  • Screenshot_20220803-094105.png
    49 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220803-094042.png
    46.7 KB · Views: 19
Zile taarifa watu wa Mwanza wakiziona huwa wananuna 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220805-214110.png
    127.7 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220805-211351.png
    130.3 KB · Views: 17
Kwamba Mwanza ndio eti inashindana na Arusha👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220811-130217.png
    212.8 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220810-193825.png
    156.5 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220810-153639.png
    120.5 KB · Views: 11
  • Screenshot_20220809-195822.png
    99.8 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220809-074134.png
    133.9 KB · Views: 10
Arusha inang'ara na kila mtu anaifahamu hapa Duniani na angependa kufika👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220810-075834.png
    126.9 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220808-233550.png
    137.7 KB · Views: 10
  • Screenshot_20220812-202217.png
    109.5 KB · Views: 10
Huu mradi mbioni kufufuliwa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220811-123614.png
    143.3 KB · Views: 8
  • Screenshot_20220811-123657.png
    109 KB · Views: 12
Ushamba Ushamba. Vitoto vinatambiana magorofa.. Threads za kishamba. Magorofa kwa washamba ndio maendeleo. Hebu tafuteni pesa mkazunguke duniani, muione dunia, mkirudi hamta tambiana na hivyo vigorofa vinavyomilikiwa na wanaume wenzenu
 
Mara ooh Arusha bila Utalii hakuna kitu..

Watu wanazidi kuumbuka huku 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220809-080858.png
    94.7 KB · Views: 13
Ushamba Ushamba. Vitoto vinatambiana magorofa.. Threads za kishamba. Magorofa kwa washamba ndio maendeleo. Hebu tafuteni pesa mkazunguke duniani, muione dunia, mkirudi hamta tambiana na hivyo vigorofa vinavyomilikiwa na wanaume wenzenu
Vya Duniani sio vyetu havitusaidii..Mbona ulivyofunguka hikubaki huko Duniani uko Bongo?

Taahira wewe hujaitwa humu,majukwaa yako mengi Sana jf.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…