Acha uongo Mwanza Dar ndo route ya abiria wengi wa Local! Tena kwa abiria wa ndani nyinyi arusha hamfikii hata nusu ya Mwanza!Leo asubuhi nimefika "KIJIJI CHA WAVUVI" nimehuzunika sana. Mkoa uko nyuma sana kwenye mambo ya kisasa, Yaani ATCL wanatoa Dreamliner kuja Mwanza abiria hatufiki hata 50!!! Watu wa huku wamezoea Super Najimunisa na Zuberi coach. Aibu sana, bora hili li-dege lingeenda A-Town kwa wajanja lisingekosa abiria 300. View attachment 2570742View attachment 2570743
Side effect za ARV + canabis=?Leo asubuhi nimefika "KIJIJI CHA WAVUVI" nimehuzunika sana. Mkoa uko nyuma sana kwenye mambo ya kisasa, Yaani ATCL wanatoa Dreamliner kuja Mwanza abiria hatufiki hata 50!!! Watu wa huku wamezoea Super Najimunisa na Zuberi coach. Aibu sana, bora hili li-dege lingeenda A-Town kwa wajanja lisingekosa abiria 300. View attachment 2570742View attachment 2570743
Asante kwa taarifa lakini Mwanza hakuna Super Najimunisa Wala Zuberi CoachLeo asubuhi nimefika "KIJIJI CHA WAVUVI" nimehuzunika sana. Mkoa uko nyuma sana kwenye mambo ya kisasa, Yaani ATCL wanatoa Dreamliner kuja Mwanza abiria hatufiki hata 50!!! Watu wa huku wamezoea Super Najimunisa na Zuberi coach. Aibu sana, bora hili li-dege lingeenda A-Town kwa wajanja lisingekosa abiria 300. View attachment 2570742View attachment 2570743
Hapo kwa mwanza ni SengeremaHahaha so poa A townView attachment 2570964
Mbon pabaya hvyoHahaha so poa A townView attachment 2570964
Mabanda cityHahaha so poa A townView attachment 2570964
Hako kajengo ndio unajivunia?Watu wapo Site...Yani Hiki kipindi Jiwe hayupo Arusha mijengo imeanza kurudi kama kawaidaView attachment 2571937
Malizeni ujenzi wa Mwanza internatinal airport nasi tutawaonesha watalii wetu walipo.Mwanza tuonesheni Watalii wenu 🤸🤸
Jiwe alijua kuwaoendelea ila safari hii tutaoneshana makaliii...Malizeni ujenzi wa Mwanza internatinal airport nasi tutawaonesha watalii wetu walipo.
Nawaonesha makali kwamba tangu Jiwe afe huku matajiri walimbia ndo wamerudiHako kajengo ndio unajivunia?
Jiwe wenu hakumaliza na walikuwa wanatumia huo uwanja wenu kupiga pesa harafu mje kutusumbua saizi? Acheni ujingaMalizeni ujenzi wa Mwanza internatinal airport nasi tutawaonesha watalii wetu walipo.
Alipendelea kipi?Jiwe alijua kuwaoendelea ila safari hii tutaoneshana makaliii...
Mkuu kwani tunavita na nyie, sisi Mwanza hatujawahi kutegemea sadaka na upendeleo kutoka serikalini, na msitegemee kama mtatufikia au kutuzidi, na kama kuna watu serikalini wenye akili na mawazo kama yako wanadhani wanaikomesha Mwanza naona wanapoteza muda na nguvu zao tu.Jiwe alijua kuwaoendelea ila safari hii tutaoneshana makaliii...
Unajua kasi ya ujenzi ya Mwanza kwa sasa? Au umekaa hapo ungalimited ukivuta bangi tuNawaonesha makali kwamba tangu Jiwe afe huku matajiri walimbia ndo wamerudi
Kwa hiyo serikali inafanya makusudi kutukomesha?Jiwe wenu hakumaliza na walikuwa wanatumia huo uwanja wenu kupiga pesa harafu mje kutusumbua saizi? Acheni ujinga
Ila watu wengi wanachuki na husda na Mwanza na wengine wamo humo serikalini tena wengi tu.Jiwe wenu hakumaliza na walikuwa wanatumia huo uwanja wenu kupiga pesa harafu mje kutusumbua saizi? Acheni ujinga
Kwa hiyo serikali inafanya makusudi kutukomesha?
Kasi Ile Ile iliyotumika elsewhere ndio itatumika na huko Mwanza..Ila watu wengi wanachuki na husda na Mwanza na wengine wamo humo serikalini tena wengi tu.