Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Mwanza poa Sana,siipendi tu kwa sababu ipo mbali na Dar es salaam
Na hiyo sababu yako ya kutoipenda ndio imesababisha jiji la Mwanza kukua na kuendelea kukua zaidi kwasababu halina mpinzani wa karibu, angalia , Tanga, morogoro, pwani na miji mingine ilihokaribu na Dar, miji yote imedumaa na imenyonywa na dar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…