Acha kujitoa ufahamu angalia hilo dude lingine arusha nzima hakuna kama hilo, na kama lipo weka picha😂😂😂Hahah mwanza bana kwa kujipa sifa mnaongoza ..Yani hako kakitu hapo chini ni plaza? Mji local sana huo[emoji1484]
Mwanza omba omba wengi ni wachaga na wameru
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Uzuri jiji la Arusha hao sio wenyeji. Chaushamba bana, utachekwa chaushamba.
Unatia huzuni, wakazi halisi wa arusha ni wamasai ambao wanajiita waarusha ni watu wapo kilocal sana nao huwa ni sehemu ya utalii.Uzuri jiji la Arusha hao sio wenyeji. Chaushamba bana, utachekwa chaushamba.
Watasema hapa sio Mwanza bali ni capetown.[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2582241
We fala Nini eti kuanzia mwinyi. Kusema huo upuuzi ndo umekuwa mjanja 😂. Bangi ya maji ya chai hii.Arusha hakuna kabila hakuna, hakuna lugha ya kimataifa kubwa isiyozungumzwa. Nyie sio watoto wa mjini hamuwezi kuelewa. Watu wa mwanza sio watoto wa town. Hamna ata ujanja wa kitown. Mnajulikana. Hivi mnachoishinda arusha ni nini labda? Wawekezaji arusha wapo kibao. Acha kukariri, nyie mkishafika dar mnadhani mmemaliza. Arusha for your info ndio sehemu viongozi wamejenga kwanzia mwinyi mpaka wa sasa, kasoro yule mshamba mwenzenu tu.
Wanaona mji kujaa wanasiasa ndio habari ya mjini.We fala Nini eti kuanzia mwinyi. Kusema huo upuuzi ndo umekuwa mjanja 😂. Bangi ya maji ya chai hii.
Nje ya Arusha ni kisongo Kuna Nini hapo, USA Kuna Nini, juakali kama waenda Meru Kuna Nini?😂😂Kwani dar ndio nini yani? Dar ata sisi kuna mambo wanajifunza kwetu. Washamba na wageni ni nyie. Huna ata haya kighorofa ushuzi 2023 unatamba? Backward ass nikkaz
Mwanza ina ghorofa tisa na arusha ghorofa 9000😀😀😀😀[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2582241
Kuna nyumba za udongo na vichaka vya miba, baridi na mashuka ya kimasai.Nje ya Arusha ni kisongo Kuna Nini hapo, USA Kuna Nini, juakali kama waenda Meru Kuna Nini?😂😂
Bar maids wote mahala popote wanatoka Arusha na Kilimanjaro. Halafu Kuna fala humu limeshupaza shingo kubishana na akili kubwa.Unatesekea ukiwa wapi? Sijawahi kuona omba omba wa kisukuma, tena wadada wakisukuma huwezi kuwaona wanafanya kazi hatarishi kama za wanawake wa arusha na Kilimanjaro waliojaa kwenye mabaa na kazi yao kuu ni barmaids.
Wanauza uchi si poaMwanza omba omba wengi ni wachaga na wameru
Unazungumzia Arusha ipi Pwagu?Uzuri jiji la Arusha hao sio wenyeji. Chaushamba bana, utachekwa chaushamba.
Nenda kwa mrombo, kaloleli, sanawari, matako baa mianzini na all the way from mianzini to kaloleli wanawake wanavyouza nyuchi. Halafu unatamba na ujinga hapa.Uzuri jiji la Arusha hao sio wenyeji. Chaushamba bana, utachekwa chaushamba.
Wewe pia baba ntilie unakimbia kazi yako. Umesema ofisini kwako halafu majukumu unambambikizia mtu mwingine au ndo UJANJA wako ulipo?Alafu we unachanganya kati ya mchaga na muarusha ,Mchaga kwao ni Kilimanjaro japo Lafudhi ya Mchaga na Watu wa Arusha zinafanana
Tuje kwako unasema eti hamna watu wa Mwanza Arusha? Mimi ofisini kwangu nilipo mama ntilie na Baba ntilie wengi wasukuma Hadi lafudhi ukiwauliza kwenu wapi watakwambia mwanza
Unajuwa huyu ni kibarua wa baba ntilie, kusugua masufuria na kurudi kwa shemeji ake kugongea hela ya vocha.Wewe pia baba ntilie unakimbia kazi yako. Umesema ofisini kwako halafu majukumu unambambikizia mtu mwingine au ndo UJANJA wako ulipo?
Ametusaidia kujua kazi yake. Kumbe hata halijawahi kutoka nje ya Arusha.Unakuwa huyu ni kibarua wa baba ntilie, kusugua masufuria na kurudi kwa shemeji ake kugongea hela ya vocha.
Watasema hii sio Mwanza bali ni New Delhi, karibu na Taj mahal, hakika ili jiji lina utamu wake na ladha ya tofauti kabisa hapa Africa.View attachment 2582273
Mpaka mnyooshe mikono. Hakuna eneo mlishawahi ibua mkatushinda. Mwanza ndo kwanza kumekucha