Unabishana na takwimu?takwimu kutoka NBS ndio zinawakataa sio mimiacha porojo weka picha ya hizo neighbourhoods za huko Arusha na Tanga ili na sisi wakina tomaso tuamini, idadi ya magorofa ya dodoma yanaingia mara nne kwa magorofa ya Tanga hii ina make sense, pia idadi ya magorofa ya Mwanza ni mara sita ya magorofa ya Arusha kweli ina make sense, mbali na hivyo bila ushabiki ukiangalia majenzi yanayoendelea mwanza ni hatari takribani majenzi 65,000 na Dar ni 34,000 majenzi yanayoendelea na hii inaashiria Mwanza inakuwa sana kuliko ata Dar kwasasa. tuusan karibu tena kwa povu.
Hakuna kitu kipo wrong hapo na usinipange mi nasimama na takwimuKaka hizo report ziko wrong somewhere, Mwanza naifahamu vizuri sana.
Report ndio wametoa wanavyotaka ila kiuhalisia haiko hivyo
Nani kasema ni kigezo?we umeshawahi ona wapi masikini akimudu kujenga ghorofa?ghorofa ni za wenye nazo icho ni kipimo cha uwezo wa wakazi...kwa maana hiyo ni sahihi kua mwanza ni moja ya mikoa masikini Tanzania kuna report ilitoka mkabisha ,sasa kwani mnahisi mnaonewa?kila report inawakataa[emoji2][emoji2][emoji23]Kama maghorofa ni kigezo Cha jiji bas Dubai ,ingekuwa ni mega city kuliko London
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ujinga bana accept the facts ,uswahili mwingi hautakusaidiaAnd that's true .... makarani walikuwa washachoka ,,,,,,mi nilikuwa huku kahama makarani walikuwa wanakaa kwenye miti tu wanapika data
Sent using Jamii Forums mobile app
How do you verify this is fact ?Acha ujinga bana accept the facts ,uswahili mwingi hautakusaidia
Kwamba maghorofa yote hapo ni makazi ya watu ,,,,ebu Tutolee ushamba...hicho kipimo Cha umaskini umekipata wapiNani kasema ni kigezo?we umeshawahi ona wapi masikini akimudu kujenga ghorofa?ghorofa ni za wenye nazo icho ni kipimo cha uwezo wa wakazi...kwa maana hiyo ni sahihi kua mwanza ni moja ya mikoa masikini Tanzania kuna report ilitoka mkabisha ,sasa kwani mnahisi mnaonewa?kila report inawakataa[emoji2][emoji2][emoji23]
Arusha Jiji ,toboa hicho kinyeo Cha Mwanza hadi wajiharishie ππ.Kwamba maghorofa yote hapo ni makazi ya watu ,,,,ebu Tutolee ushamba...hicho kipimo Cha umaskini umekipata wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachafua uzi, angalia Blocks hizoArusha Jiji ,toboa hicho kinyeo Cha Mwanza hadi wajiharishie ππ.
Arusha is on the rise day 1 hadi nyingine π
Kama huna bandle shauri yako..View attachment 2408194View attachment 2408199
View attachment 2408205
View attachment 2408207View attachment 2408213
View attachment 2408214
View attachment 2408212
View attachment 2408218
View attachment 2408215
View attachment 2408200View attachment 2408198
City identity (Rock)
View attachment 2408202
Kwani wakiwa wengi ndio nini hasa? Hoja yako ni ipi mbona umeandika kitoto Sana?Mi kwenye ugomvi wa Mwanza na Arusha naonaga humu kumejaa watoto tu ama mabishoo wasio na tija kwa sifa za kipuuzi tu, mimi ninaishi Mwanza mjini toka nimezaliwa, na ninafanya kazi Arusha mjini na viunga vyake toka 2009.
Ukweli mfupi ni kwamba Mwanza na mikoa yote ya Kanda ya ziwa ina watu wengi sana, maeneo matatu yalio viunga vya mji ni sawa na mikoa mingine mitatu kati kati ya jiji, nikimaanisha Buhongwa kutoka juu mpaka chini, Buswelu kuunganisha na Nyamhongolo, Igoma kuunganisha na Kishili, haya maeneo matatu kila eneo moja ni sawa na pale Shinyanga au Tabora au Kigoma hivi, sema humu ndani kumejaa mihemko tu, miji ya Kaskazini katika kaya moja unakuta mtu ana watoto watatu, Kanda ya ziwa kaya moja mtu ana watoto 9 mpaka 12, mji wa Mwanza unahudumia mikoa yote ya Kanda ya ziwa, japo mkoa mmoja wa Kagera unachanganya kimahitaji kati ya Mwanza na Kampala, watu wa mikoa hiyo mitano mikubwa ya usukumani, karibu 79% wamekimbilia pale Mwanza kibiashara , changanya na uzaaji watoto watu ni wengi sana, tena hata hao M3. 6 nadhani ni wachache
Watu wanazungumzia maendeleo wewe umekazana na idadi ya watu?ndio familia ya watoto wa3 pale moshi wanauchumi mzuri kuliko izo za watoto 12 huko mwanza, wanaishi kwenye nyumba bora kuliko uko na wanaaccess ya huduma za kijamii kuliko huko,twende kwenye quality of life ndio utajua apaMi kwenye ugomvi wa Mwanza na Arusha naonaga humu kumejaa watoto tu ama mabishoo wasio na tija kwa sifa za kipuuzi tu, mimi ninaishi Mwanza mjini toka nimezaliwa, na ninafanya kazi Arusha mjini na viunga vyake toka 2009.
Ukweli mfupi ni kwamba Mwanza na mikoa yote ya Kanda ya ziwa ina watu wengi sana, maeneo matatu yalio viunga vya mji ni sawa na mikoa mingine mitatu kati kati ya jiji, nikimaanisha Buhongwa kutoka juu mpaka chini, Buswelu kuunganisha na Nyamhongolo, Igoma kuunganisha na Kishili, haya maeneo matatu kila eneo moja ni sawa na pale Shinyanga au Tabora au Kigoma hivi, sema humu ndani kumejaa mihemko tu, miji ya Kaskazini katika kaya moja unakuta mtu ana watoto watatu, Kanda ya ziwa kaya moja mtu ana watoto 9 mpaka 12, mji wa Mwanza unahudumia mikoa yote ya Kanda ya ziwa, japo mkoa mmoja wa Kagera unachanganya kimahitaji kati ya Mwanza na Kampala, watu wa mikoa hiyo mitano mikubwa ya usukumani, karibu 79% wamekimbilia pale Mwanza kibiashara , changanya na uzaaji watoto watu ni wengi sana, tena hata hao M3. 6 nadhani ni wachache
Jiji la Wakazi mil.1 ndio mnajivunia hapo tuu? Wengine wanaishi kwenye ule uchafu wa mikimani ππ
Kakimbilia googleUkiniletea mtaa mkali Zaid ya huu ...nitag[emoji116]View attachment 2410616
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo Kuna ukali gani zaidi ya filter na make ups tuu hizo?Ukiniletea mtaa mkali Zaid ya huu ...nitag[emoji116]View attachment 2410616
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana mapank kubari tuu kwamba Mwanza bado sana kwa Arusha..View attachment 2408194View attachment 2408199
View attachment 2408205
View attachment 2408207View attachment 2408213
View attachment 2408214
View attachment 2408212
View attachment 2408218
View attachment 2408215
View attachment 2408200View attachment 2408198
City identity (Rock)
View attachment 2408202
Arusha bado sana kwa JIJI letu la Mwanza...Bwana mapank kubari tuu kwamba Mwanza bado sana kwa Arusha..
Siku mkifika level za kuwa na skyline iliyopambwa na mandhari safi Kama hii mtasumbua sana,Arusha [emoji116]