Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

acha porojo weka picha ya hizo neighbourhoods za huko Arusha na Tanga ili na sisi wakina tomaso tuamini, idadi ya magorofa ya dodoma yanaingia mara nne kwa magorofa ya Tanga hii ina make sense, pia idadi ya magorofa ya Mwanza ni mara sita ya magorofa ya Arusha kweli ina make sense, mbali na hivyo bila ushabiki ukiangalia majenzi yanayoendelea mwanza ni hatari takribani majenzi 65,000 na Dar ni 34,000 majenzi yanayoendelea na hii inaashiria Mwanza inakuwa sana kuliko ata Dar kwasasa. tuusan karibu tena kwa povu.
Unabishana na takwimu?takwimu kutoka NBS ndio zinawakataa sio mimi
 
Kaka hizo report ziko wrong somewhere, Mwanza naifahamu vizuri sana.
Report ndio wametoa wanavyotaka ila kiuhalisia haiko hivyo
Hakuna kitu kipo wrong hapo na usinipange mi nasimama na takwimu
 
Kama maghorofa ni kigezo Cha jiji bas Dubai ,ingekuwa ni mega city kuliko London

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani kasema ni kigezo?we umeshawahi ona wapi masikini akimudu kujenga ghorofa?ghorofa ni za wenye nazo icho ni kipimo cha uwezo wa wakazi...kwa maana hiyo ni sahihi kua mwanza ni moja ya mikoa masikini Tanzania kuna report ilitoka mkabisha ,sasa kwani mnahisi mnaonewa?kila report inawakataa[emoji2][emoji2][emoji23]
 
Nani kasema ni kigezo?we umeshawahi ona wapi masikini akimudu kujenga ghorofa?ghorofa ni za wenye nazo icho ni kipimo cha uwezo wa wakazi...kwa maana hiyo ni sahihi kua mwanza ni moja ya mikoa masikini Tanzania kuna report ilitoka mkabisha ,sasa kwani mnahisi mnaonewa?kila report inawakataa[emoji2][emoji2][emoji23]
Kwamba maghorofa yote hapo ni makazi ya watu ,,,,ebu Tutolee ushamba...hicho kipimo Cha umaskini umekipata wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi kwenye ugomvi wa Mwanza na Arusha naonaga humu kumejaa watoto tu ama mabishoo wasio na tija kwa sifa za kipuuzi tu, mimi ninaishi Mwanza mjini toka nimezaliwa, na ninafanya kazi Arusha mjini na viunga vyake toka 2009.

Ukweli mfupi ni kwamba Mwanza na mikoa yote ya Kanda ya ziwa ina watu wengi sana, maeneo matatu yalio viunga vya mji ni sawa na mikoa mingine mitatu kati kati ya jiji, nikimaanisha Buhongwa kutoka juu mpaka chini, Buswelu kuunganisha na Nyamhongolo, Igoma kuunganisha na Kishili, haya maeneo matatu kila eneo moja ni sawa na pale Shinyanga au Tabora au Kigoma hivi, sema humu ndani kumejaa mihemko tu, miji ya Kaskazini katika kaya moja unakuta mtu ana watoto watatu, Kanda ya ziwa kaya moja mtu ana watoto 9 mpaka 12, mji wa Mwanza unahudumia mikoa yote ya Kanda ya ziwa, japo mkoa mmoja wa Kagera unachanganya kimahitaji kati ya Mwanza na Kampala, watu wa mikoa hiyo mitano mikubwa ya usukumani, karibu 79% wamekimbilia pale Mwanza kibiashara , changanya na uzaaji watoto watu ni wengi sana, tena hata hao M3. 6 nadhani ni wachache
 
Kwamba maghorofa yote hapo ni makazi ya watu ,,,,ebu Tutolee ushamba...hicho kipimo Cha umaskini umekipata wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
Arusha Jiji ,toboa hicho kinyeo Cha Mwanza hadi wajiharishie 😁😁.

Arusha is on the rise day 1 hadi nyingine 👇
 

Attachments

  • 1667663476397.jpg
    1667663476397.jpg
    124.7 KB · Views: 13
  • 1667663382934.mp4
    8.9 MB
  • 1667663413741.mp4
    2.2 MB
  • 1667663445768.mp4
    3.6 MB
  • Screenshot_20221105-184855.png
    Screenshot_20221105-184855.png
    258.5 KB · Views: 13
  • Screenshot_20221105-115734.png
    Screenshot_20221105-115734.png
    176 KB · Views: 15
Mi kwenye ugomvi wa Mwanza na Arusha naonaga humu kumejaa watoto tu ama mabishoo wasio na tija kwa sifa za kipuuzi tu, mimi ninaishi Mwanza mjini toka nimezaliwa, na ninafanya kazi Arusha mjini na viunga vyake toka 2009.

Ukweli mfupi ni kwamba Mwanza na mikoa yote ya Kanda ya ziwa ina watu wengi sana, maeneo matatu yalio viunga vya mji ni sawa na mikoa mingine mitatu kati kati ya jiji, nikimaanisha Buhongwa kutoka juu mpaka chini, Buswelu kuunganisha na Nyamhongolo, Igoma kuunganisha na Kishili, haya maeneo matatu kila eneo moja ni sawa na pale Shinyanga au Tabora au Kigoma hivi, sema humu ndani kumejaa mihemko tu, miji ya Kaskazini katika kaya moja unakuta mtu ana watoto watatu, Kanda ya ziwa kaya moja mtu ana watoto 9 mpaka 12, mji wa Mwanza unahudumia mikoa yote ya Kanda ya ziwa, japo mkoa mmoja wa Kagera unachanganya kimahitaji kati ya Mwanza na Kampala, watu wa mikoa hiyo mitano mikubwa ya usukumani, karibu 79% wamekimbilia pale Mwanza kibiashara , changanya na uzaaji watoto watu ni wengi sana, tena hata hao M3. 6 nadhani ni wachache
Kwani wakiwa wengi ndio nini hasa? Hoja yako ni ipi mbona umeandika kitoto Sana?

Haya wako so what? Mbona Arusha ina Maghorofa mengi kupita Mwanza?

International Schools kama hizi unaweza zikuta Mwanza? 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221106-140048.png
    Screenshot_20221106-140048.png
    244.3 KB · Views: 12
  • 1667732363863.jpg
    1667732363863.jpg
    116.3 KB · Views: 13
  • 1667732471528.jpg
    1667732471528.jpg
    139.4 KB · Views: 12
Mi kwenye ugomvi wa Mwanza na Arusha naonaga humu kumejaa watoto tu ama mabishoo wasio na tija kwa sifa za kipuuzi tu, mimi ninaishi Mwanza mjini toka nimezaliwa, na ninafanya kazi Arusha mjini na viunga vyake toka 2009.

Ukweli mfupi ni kwamba Mwanza na mikoa yote ya Kanda ya ziwa ina watu wengi sana, maeneo matatu yalio viunga vya mji ni sawa na mikoa mingine mitatu kati kati ya jiji, nikimaanisha Buhongwa kutoka juu mpaka chini, Buswelu kuunganisha na Nyamhongolo, Igoma kuunganisha na Kishili, haya maeneo matatu kila eneo moja ni sawa na pale Shinyanga au Tabora au Kigoma hivi, sema humu ndani kumejaa mihemko tu, miji ya Kaskazini katika kaya moja unakuta mtu ana watoto watatu, Kanda ya ziwa kaya moja mtu ana watoto 9 mpaka 12, mji wa Mwanza unahudumia mikoa yote ya Kanda ya ziwa, japo mkoa mmoja wa Kagera unachanganya kimahitaji kati ya Mwanza na Kampala, watu wa mikoa hiyo mitano mikubwa ya usukumani, karibu 79% wamekimbilia pale Mwanza kibiashara , changanya na uzaaji watoto watu ni wengi sana, tena hata hao M3. 6 nadhani ni wachache
Watu wanazungumzia maendeleo wewe umekazana na idadi ya watu?ndio familia ya watoto wa3 pale moshi wanauchumi mzuri kuliko izo za watoto 12 huko mwanza, wanaishi kwenye nyumba bora kuliko uko na wanaaccess ya huduma za kijamii kuliko huko,twende kwenye quality of life ndio utajua apa
 

Attachments

  • 5e9f0dd89fcc4.jpeg
    5e9f0dd89fcc4.jpeg
    85.6 KB · Views: 14
  • Best-time-to-visit-Arusha-Tanzania.jpeg
    Best-time-to-visit-Arusha-Tanzania.jpeg
    197.2 KB · Views: 15
  • 138450183465e3031b7418207dfd52c2.jpg
    138450183465e3031b7418207dfd52c2.jpg
    1.1 MB · Views: 10
  • 360_F_249317687_Y8kvxuvyLN2FnTW4gySvZs7ZZ3xZjY47.jpg
    360_F_249317687_Y8kvxuvyLN2FnTW4gySvZs7ZZ3xZjY47.jpg
    40.6 KB · Views: 11

Attachments

  • Arusha_City_view.jpg
    Arusha_City_view.jpg
    11.4 KB · Views: 16
  • things-to-do-in-arusha.jpg
    things-to-do-in-arusha.jpg
    32.6 KB · Views: 13
  • Arusha_City_view.jpg
    Arusha_City_view.jpg
    11.4 KB · Views: 12
 

Attachments

  • 1000_F_472967043_RPTOU6rwrfpJGwAm99sTXMG5NTEhlLKg.jpg
    1000_F_472967043_RPTOU6rwrfpJGwAm99sTXMG5NTEhlLKg.jpg
    109.9 KB · Views: 15
  • aerial-view-of-arusha-city.jpg
    aerial-view-of-arusha-city.jpg
    43.2 KB · Views: 13
  • 360_F_494969068_hRXuOS2Ol1c2VVFjyXwEAb5GYBwEr2Rf.jpg
    360_F_494969068_hRXuOS2Ol1c2VVFjyXwEAb5GYBwEr2Rf.jpg
    46.3 KB · Views: 16
Back
Top Bottom