Vipaumbele ni dodoma na darMi Bado naimani pesa ipo ila serikali vipaumbele vyake
Jamaa yako sunk kasema sisi hatuwezi kupata miradi kama dar na dodoma hayo ni majiji specialKabisa bro hapo umeongea ase nchi nyingine inapambana kila Jiji lipate haki sawa wakati huku kwetu wanakazana na majiji ma 2 tu
Kwa nini iwe lazima kuingia Katikati ya Mji? Why zisijengwe py pass za kutosha kuepusha msongamano hapo mjini hasa asubuhi na jioni?Mwanza inabarabara tatu kubwa unaposema unapita barabara moja ukiwa unatokea wapi na wapi, Unajijua nyerere road, kenyatta road au makongoro road je hizo ni barabara za mtaani?
Sasa hizi bara bara hata chuga zipo bro ...sisi hatuhitaji hivi sisi tunahitaji majiji yaboreshweMda ulikua mchache jmos nitarudi tena na barabara za mitaani View attachment 2608703View attachment 2608705View attachment 2608708View attachment 2608709View attachment 2608712View attachment 2608714
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] lete picha na hapo sio mjini nina mambo mengi sana this time ila weekend ijayo nitakua na mda wa kutosha kukuonyesha vitu ambavyo kwenye internet hauwezi kuvipata kamweSasa hizi bara bara hata chuga zipo bro ...sisi hatuhitaji hivi sisi tunahitaji majiji yaboreshwe
Barabara za hivi hata sumbawanga zipo tunataka barabara kama hizi