Acha ushambenga, mabanda yapo wapi unadhan hiyo ni mafiat .Hii picha hapa Hilo jengo jeupe la hapo Airport huko nyuma yake Kuna kimlima na makazi ya watu ni full mabanda View attachment 2612605
Wewe mpuuzi haujui hayo ni mabwen ya bwiru boys[emoji1787][emoji1787]Mpaka hapo unakubaliana kwamba Mwanza ni shaghalabaghala city,angalia hizo picha no mitaa no proper roads licha ya kwamba matajiri wamejenga ..
Uswazi Huwa haukosekani [emoji16][emoji16]View attachment 2612585
Mwanza ni Mji rahisi sana kuuelewa,Barabara 3 Mji umeisha 🤣🤣..[emoji1787] we jamaa umekuja mji wa watu kwa nini usituulize sisi wenyeji tukupe location mimi niko mwanza kesho weekend nitafute
Ila camera yako haiko poa.Hii picha hapa Hilo jengo jeupe la hapo Airport huko nyuma yake Kuna kimlima na makazi ya watu ni full mabanda View attachment 2612605
Wewe mpuuzi haujui hayo ni mabwen ya bwiru boys[emoji1787][emoji1787]
Mbona kama unakua mjinga sana
Tabia ya kukataa ukweli ndio inawaponza.Acha ushambenga, mabanda yapo wapi unadhan hiyo ni mafiat .
We jamaa ulivyo mjinga unalitembea jiji ukiwa kwenye hiceLaiti kama vile vimilima vyenu msingeruhusu watu maskini kujenga Mji ungependeza na ungekuwa kivutio Cha Utalii na ungekuwa na hali ya hewa nzuri sana na shombo yote ya Samaki ingekuwa absorbs na uwepo wa miti/greenish kama huku Isamilo
View attachment 2612596
Nimekuta DIT inajengwa, nadhani hii Campus ikikamilika wanafunzi watapenda maana itakuwa kama kile Chuo Kiko Kivukoni pale au kama Chuo Cha Taifa Cha Utalii Bagamoyo maana viko kwenye beach.
Pia Kuna Hotel Ile inaitwa Adeni Palace Hotel plus Ile Hospital ya sda Pasiansi ni kubwa japo waliodesign jengo wameinyima architectural authentic
Nilikuwa napiga Kwa kuibia na pia ilikuwa mchana maana hapa Bongo Huwa Kuna masharti ya kama North Korea upuuzi upuuzi tuuIl
Ila camera yako haiko poa.
Nilikuwa na private ,hiace nani akuzungushe Sasa 😁😁😁😁We jamaa ulivyo mjinga unalitembea jiji ukiwa kwenye hice
Unataka nini sema tukusaidie
Hautaki ukweli bwiru girls na boys zipo sehemu moja huko mwishoni kwenye hizo pichaTabia ya kukataa ukweli ndio inawaponza.
Hili jengo la taasisi ndio linakutoa ushamba, leta ghorofa 10f la arusha ambalo ni la mtu binafsi, Mwanza ina majengo yaliyojengwa na wazawa na si misaada ya mashirika ya taasisi, na arusha ni makao makuu ya EA lakini bado ni jiji tia maji tia maji halina maajabu.Mwanza ni Mji rahisi sana kuuelewa,Barabara 3 Mji umeisha 🤣🤣..
Na ulivyo shaghalabaghala hata hauvutii mumeuharibu wenyewe Kwa ujenzi holela..
Arusha na Dom zimeiacha Mwanza mbali sana ni vile mko supported na watu wengi ila zaidi ya hapo hamna kitu..
Mwanza ni nzuri City Centre tuu kwingine kote ni tia maji tia maji..
Kasi ya ujenzi Kwa Sasa inaridhisha tofauti na kipindi naondoka japo tatizo ndio Hilo ujenzi holela na pia hakuna ujenzi wa majengo marefu..
Arusha View attachment 2612608
Usishindane na Arusha kwenye majengo hutoweza.Siku nyingi sijaenda Arusha hope next year nitaenda pia..Hili jengo la taasisi ndio linakutoa ushamba, leta ghorofa 10f la arusha ambalo ni la mtu binafsi, Mwanza ina majengo yaliyojengwa na wazawa na si misaada ya mashirika ya taasisi, na arusha ni makao makuu ya EA lakini bado ni jiji tia maji maji halina maajabu.
Umetembelea maeneo gani kiongoz?Usishindane na Arusha kwenye majengo hutoweza.Siku nyingi sijaenda Arusha hope next year nitaenda pia..
Arusha Iko hot kama Dar usilete mchezo Mzee..
Niliweka kambi maeneo ya Kirumba pale Fimbo Hotel,pale Viwanja vya Furahisha Kuna Ujenzi mkubwa sana unaendelea bila shaka litakuwa jengo kubwa but sio refu ,pia nimeona TBA pia wanajenga kando ya Barabara ya Airport jirani na lile jengo jipya la Hotel ambalo mikdle Huwa anaposti Kila siku [emoji3][emoji3]..
Ila kiukweli Mwanza imebadilika ,miaka 8 ni Mingi nadhani by 2020 itaungana kabisa na Misungwi nimeona ujenzi uko speed upande huo wa Shinyanga Road but shida ni Ile Ile Kwa nini hayo maeneo hampimi viwanja kuwe na proper ujenzi?
Nimesema hivyo sababu hayo maeneo yate yapo barabaraniNilikuwa na private ,hiace nani akuzungushe Sasa [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
We unawauma watu wa arusha na kuwapuliza waambie ukweli kuwa wana safari ya miaka 100 kufika mahali mwanza ilipo.Usishindane na Arusha kwenye majengo hutoweza.Siku nyingi sijaenda Arusha hope next year nitaenda pia..
Arusha Iko hot kama Dar usilete mchezo Mzee..
Niliweka kambi maeneo ya Kirumba pale Fimbo Hotel,pale Viwanja vya Furahisha Kuna Ujenzi mkubwa sana unaendelea bila shaka litakuwa jengo kubwa but sio refu ,pia nimeona TBA pia wanajenga kando ya Barabara ya Airport jirani na lile jengo jipya la Hotel ambalo mikdle Huwa anaposti Kila siku 😀😀..
Ila kiukweli Mwanza imebadilika ,miaka 8 ni Mingi nadhani by 2020 itaungana kabisa na Misungwi nimeona ujenzi uko speed upande huo wa Shinyanga Road but shida ni Ile Ile Kwa nini hayo maeneo hampimi viwanja kuwe na proper ujenzi?
Kila siku mnapost hili, naona na wewe dada umeingia kwenye hii battle ni sawa na kuvamia mtumbwi wa vibwengo.
Una maanisha nini kuposti hivi vichaka vya miba.