Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Wew kifupi umetembelea barabara ya airport,,, isamilo,kirumba na city center bas ......
Huyo hajatembea kafikia kirumba na ameondokea kirumba, kila picha ni mitaa ya kirumba.
 
Asante Kwa ushauri wako .. hope wenye mamlaka watazingatia hilo[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Asante Kwa ushauri wako .. hope wenye mamlaka watazingatia hilo[emoji120][emoji120][emoji120]
Kuna muda mr sunk anakuwa na akili lakini akishakunywa ulanzi tu hapo shida ndio huwa inaanza.
 
Umefika Katoro ?
 
Anapakubali kiaina nishamuona
 
Sasa kwani arusha ni origin ya wachagap? Ficha ujinga. Alafu kumbe ata diversity huelewi maana yake. Unaongelea slums.
Wewe acha kunishobokea sitaki sifa za like hapa. Arusha Ina diversity ya wachaga na wazawa???. Is that all about diversity. Toa ujinga hapa.
 
M
Wew kifupi umetembelea barabara ya airport,,, isamilo,kirumba na city center bas ......
Muulize hiyo Barabara ya balewa kajifunza Nini?. Kama hajatoka na kitu basi mnahangaika na kichaa
 
Wewe acha kunishobokea sitaki sifa za like hapa. Arusha Ina diversity ya wachaga na wazawa???. Is that all about diversity. Toa ujinga hapa.
Mbwa kweli we, arusha kuna, wazaungu wazawa, wairaqw, maasai, waarusha, datooga, warangi, wasukuma, wanyakyusa, wagogo, washenzi wa aina zote, cant say the same about mwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…