Qualitycontrol
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 777
- 498
Hicho chuo ndugu kitabakije gofu?Hilo jengo lilishabaki gofu kama yale ya kilwa songa mnara ya kilwa kivinje, baada ya muda litawekwa kwenye majengo ya kihistoria yalibaki ukiwa kama mapango ya olduvai gorge.
Wanajenga Eneo gani la Chuo?Kwani Mwanza hakuna chuo kinajengwa, hakuna kitu kitafanyika arusha na Mwanza kisifanyikeππ
View attachment 2624911
Instanbul aliweka render ya hiyo bukoba udsm nikaona kajengo kamoja kama ofisi ya mkurugenzi wa nyamagana nikabaki naguna tu hiiiii yaaaaniiii.
Acha kujitoa akili hilo jengo limegeuzwa kuwa hostel ya wanafunzi baada ya muda litakuwa kambi ya ma popo bawa.Hicho chuo ndugu kitabakije gofu?
Maeneo ya kamanga tu hapo ukivuka ferry.Wanajenga Eneo gani la Chuo?
Jengo lipi hilo ..kwanza unajua ni jengo ganiAcha kujitoa akili hilo jengo limegeuzwa kuwa hostel ya wanafunzi baada ya muda litakuwa kambi ya ma popo bawa.
Qualitycontrol namaanisha hili jengo kwasasa ni hostel za watoto wa chekechea, natabiri baada ya miaka mitano litakuwa kambi ya mapopo kabla ya kuwa gofu la kale kama mji wa kilwa.Msije sema hapa labda ni Havard Mikdde Kitombile hapana hapa ni Arusha[emoji1484]View attachment 2624554View attachment 2624555
Usikute unafananisha na jengo la ngurdoto hilo sio brotherQualitycontrol namaanisha hili jengo kwasasa ni hostel za watoto wa chekechea, natabiri baada ya miaka mitano litakuwa kambi ya mapopo kabla ya kuwa gofu la kale kama mji wa kilwa.
Kwahiyo hilo ndio limekuwa hostel halafu ngurdoto ndio imekuwa shule ya chekechea naomba ufafanuzi.Usikute unafananisha na jengo la ngurdoto hilo sio brother
Haka kajengo katakoma asee sio kwa kupostiwa huko, kila baada ya sekunde moja.Mwanza leteni kale ka hoteli lenu tufananishe na hii gingatic iconic architecture from Chuga is π₯π₯π₯π₯View attachment 2626054View attachment 2626055
Hilo jengo hapo ni chuo Cha Kimataifa ESAMI( Eastern & Southern African Management Institute Arusha) ,Sasa wewe usijefananisha ilo jengo na lile la ngurdotoKwahiyo hilo ndio limekuwa hostel halafu ngurdoto ndio imekuwa shule ya chekechea naomba ufafanuzi.
Chuo cha kimataifa kinafundisha hotel management na tourismHilo jengo hapo ni chuo Cha Kimataifa ESAMI( Eastern & Southern African Management Institute Arusha) ,Sasa wewe usijefananisha ilo jengo na lile la ngurdoto
Ndio ujue Arusha ni Jiji la kimataifa[emoji1484]Chuo cha kimataifa kinafundisha hotel management na tourism
Ukiacha hayo mabilioni,Kuna jengo la Bil.14 HQ ya Ngorongoro linajengwa Karatu .Haka kajengo katakoma asee sio kwa kupostiwa huko, kila baada ya sekunde moja.
Hapa ndio huwa nachanganyikiwa na definition ya ushamba, hapa ndio nakuona wewe ni mshamba kwani kuna courses ngapi kutoka vyuo mbalimbali vinavyotoa taaluma na fani mbalimbali zinazoendana na viwango vya kimataifa, course za biashara kushabihiana na za uturuki pamoja na Dubei unaona ni jambo la ajabu sana.Ndio ujue Arusha ni Jiji la kimataifa[emoji1484]View attachment 2626478
Nini kigeni hapa au kuona wadau wa utalii wakifanya kikao arusha, mbona mwanza kuna vikao vya kimataifa vinavyowakutanisha wafanyabiashara wakubwa hapa dunia lakini huwa tunaona kawaida tu.
Hivyo vijengo vya hela ya mbuzi kama hivyo huku Mwanza huwa zinajengwa na watu binafsi.ππUkiacha hayo mabilioni,Kuna jengo la Bil.14 HQ ya Ngorongoro linajengwa Karatu .