Hilo jengo halijaisha lipo only 75 percentHivi mkuu samahani ni kwamba hilo jengo ujenzi hakuisha kabisa ama la
Anhaa hapo nimekuelewaHilo jengo halijaisha lipo only 75 percent
Ujenzi ulisimama toka 2015 mwezi wa kumi na moja kipindi cha magufuli mpaka leo, pamoja na hotel ya BOT ilisimama adi leo toka 2015Hivi mkuu samahani ni kwamba hilo jengo ujenzi hakuisha kabisa ama la
Hata hii wanasema tu uhalisia bado sana hata 70% badoHilo jengo halijaisha lipo only 75 percent
Duh sababu ni niniUjenzi ulisimama toka 2015 mwezi wa kumi na moja kipindi cha magufuli mpaka leo, pamoja na hotel ya BOT ilisimama adi leo toka 2015
Kipindi cha hawamu ya tano ilijikita zaidi kwenye miundombinu na sio real estate, kipindi cha Jakaya kikwete Mwanza ilipata miradi mingi sana ya mashirika na walijenga viota vya kutosha hasa kwa Arusha, mwanza na Dar.Duh sababu ni nini
Hapo sasa nimekuelewaKipindi cha hawamu ya tano ilijikita zaidi mwenye miundombinu na sio real estate, kipindi cha Jakaya kikwete Mwanza ilipata miradi mingi sana ya mashirika na walijenga viota vya kutosha hasa kwa Arusha, mwanza na Dar.
Another one View attachment 2657556
Mbeya ni slum mji mzimaWivu gani,Mwanza ni hovyo na slum Mji mzima,Mbeya Haina huo ujinga slums ni kwenye specific areas.
dah hahahaMbeya ni slum mji mzima
Huijui Mbeya ila unasimuliwaMbeya ni slum mji mzima
Sasa hii Mbeya nzima si inapambana na Nyegezi Street tu kwa Mwanza! Yaani uchafu wote huo ulioonesha hapa unasikitisha sana aese!Huijui Mbeya ila unasimuliwa View attachment 2688475View attachment 2688476View attachment 2688477View attachment 2688478View attachment 2688479View attachment 2688480View attachment 2688481View attachment 2688482
Kamwe Mbeya haiwezi kuwa mabanda ya nguruwe kama Mwanza broo
Hoja ni uswazi,Mwanza yote ni uswazi na mabanda ya nguruwe ndio hoja iliyoko mezani.Sasa hii Mbeya nzima si inapambana na Nyegezi Street tu kwa Mwanza! Yaani uchafu wote huo ulioonesha hapa unasikitisha sana aese!
Tupo busy na kuongeza GDP kupitia private investment [emoji116]Hoja ni uswazi,Mwanza yote ni uswazi na mabanda ya nguruwe ndio hoja iliyoko mezani.
Kapicha kamoja unapiga Kila upande 🤣🤣Tupo busy na kuongeza GDP kupitia private investment [emoji116]View attachment 2689096View attachment 2689097View attachment 2689098View attachment 2689099
Kapicha kamoja endelea kujifariji..hapo ni project nne tofauti..Kapicha kamoja unapiga Kila upande [emoji1787][emoji1787]
Mabati yana kutu...Huijui Mbeya ila unasimuliwa View attachment 2688475View attachment 2688476View attachment 2688477View attachment 2688478View attachment 2688479View attachment 2688480View attachment 2688481View attachment 2688482
Kamwe Mbeya haiwezi kuwa mabanda ya nguruwe kama Mwanza broo
Sio picha moja Boss!Mwanza sio poa! Hizo project kufikia Mwisho wa Mwaka zitakuwa zimechanua na hakuna chini ya floor 8Kapicha kamoja unapiga Kila upande 🤣🤣
Hivi vitu hata Arusha mbona vipoSio picha moja Boss!Mwanza sio poa! Hizo project kufikia Mwisho wa Mwaka zitakuwa zimechanua na hakuna chini ya floor 8
Viko wapi [emoji16][emoji16]Hivi vitu hata Arusha mbona vipo