Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Duh sababu ni nini
Kipindi cha hawamu ya tano ilijikita zaidi kwenye miundombinu na sio real estate, kipindi cha Jakaya kikwete Mwanza ilipata miradi mingi sana ya mashirika na walijenga viota vya kutosha hasa kwa Arusha, mwanza na Dar.
 
Kipindi cha hawamu ya tano ilijikita zaidi mwenye miundombinu na sio real estate, kipindi cha Jakaya kikwete Mwanza ilipata miradi mingi sana ya mashirika na walijenga viota vya kutosha hasa kwa Arusha, mwanza na Dar.
Hapo sasa nimekuelewa
 
Mbeya ni slum mji mzima
Huijui Mbeya ila unasimuliwa
that_mbeya_guy_1679744755128476.jpg
that_mbeya_guy_1680353066234609.jpg
that_mbeya_guy_1680353128961733.jpg
20221125_083948.jpg
20230627_070848.jpg
20230418_125633.jpg
20230418_122826.jpg
20230326_112535.jpg


Kamwe Mbeya haiwezi kuwa mabanda ya nguruwe kama Mwanza broo
 
Back
Top Bottom