mkadiriaji majenzi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 260
- 569
Mada za kitoto hiziKumekuwa na sintofahamu kati ya Majiji haya mawaili yanatotikisa Tanzania ukiachilia Dar.
Majiji haya yamezua gumzo miongoni mwa watu kwa kujaribu kuyashindanisha lakini pamoja na kuyashindanisha kote bado watu hawajapata jibu la moja kwa moja kwamba ni mji gani mzuri na una fursa kubwa za kimaisha kuliko mwingine pamoja na ukuaji wa maendeleo.
Karibuni mchangie
Acha shobo wewe boyaMada za kitoto hizi
Unajua mapato ya halmashauri hayasadifu shughuli na uchumi wa sehemu,masoko, stendi na kadhalika bado havijaanza ku produce vile inavyotakiwa na jiji la mwanza linaongoza kwa kuwa na michwa wa kutafuna.Mwanza hamuwezi kushindana na Arusha.Just Imagine Mapato ya Ndani ya Jiji la Arusha Kwa mwaka 2023/2024 ni bil.48.ππ
View: https://www.instagram.com/p/C39w2-mMz8f/?igsh=eHU3cnRsbjNlZHJ2
Video ya Jiji la Arusha ππ
View: https://youtu.be/FNTFqOuPCUs?si=o1JtUShyK4V1O5Pp
Umefata nini kwa watoto wadogo.Mada za kitoto hizi
Upuuzi wa kujifariji ππUnajua mapato ya halmashauri hayasadifu shughuli na uchumi wa sehemu,masoko, stendi na kadhalika bado havijaanza ku produce vile inavyotakiwa na jiji la mwanza linaongoza kwa kuwa na michwa wa kutafuna.
Weka mkeka hizo taarab mwachie hadija kopa.Upuuzi wa kujifariji ππ
Ku produce kupi unakosemea wewe? Hapo ndio uelewe Sasa kwamba hayo mastendi makubwa sijui masoko ni cosmetic projects hayana maana yeyote.
Mwanza mnatia aibu sana ,inakuaje Jiji lenye watu wengi hivyo mnazidiwa kimapato na Arusha na Dodoma?
Mwanza City(Nyamagana) plus Ilemela Bado haifikii Arusha ,Mwanza ni hopeless na Jiji la maskini wa kutupwa.π€£π€£π€£π€£
My Take
Mwendazake alikuwa anawabania Arusha baada ya Mama kufungua uchumi unaweza ona Mapato yake shoot kutoka bil.30 Hadi bil.51 just within 4 years.
Mkeka upi? Mwanza ni hopeless usituchosheWeka mkeka hizo taarab mwachie hadija kopa.
Shida kuna dharau kubwa ya watendaji kuhusu ujenzi wa jengo la abiria Mwanza,lakini Mbeya, Arusha na kwingineko chap chap uboreshaji wa majengo hayo yamekamilika. Mkurugenzi wa TAA ametegwa asipoangalia ataondoka na uwanja huu akifanya uzembe. Kihenzile kaonyesha njiaMwanza inaupiga mwingi!
Mkeka upi? Mwanza ni hopeless usituchoshe
Toa upuuzi wako hapa.Mwanza unaiweka Ili ishindane na nani hapo?Hivi bado tu mnaendeleza mjadala!
1 Dar
1 Mwz
2...
3...
4...
Mtamalizia wenyewe
Mwanza hana mpinzani nje ya Dar.Toa upuuzi wako hapa.Mwanza unaiweka Ili ishindane na nani hapo?
Kwani mkifarijiwa kuna shida gani ? Takwimu zinaongea tofauti kabisaa.
Uzuri Huwa tunaweka takwimu hapa hapa na wewe unaziona ππMwanza hana mpinzani nje ya Dar.
Toa upuuzi wako hapa.Mwanza unaiweka Ili ishindane na nani hapo?
Toa Mwanza tuweke njombe wewe mkinga una tabu sanaπππKwani mkifarijiwa kuna shida gani ? Takwimu zinaongea tofauti kabisaa.
Toa Mwanza kwenye list hapo
Kwani mkifarijiwa kuna shida gani ? Takwimu zinaongea tofauti kabisaa.
Toa Mwanza kwenye list hapo
Achaga kujifariji ujinga na ushabiki mbuzi.Hivi Mwanza inazidi nini Arusha ukiacha Population?Kanda ya ziwa waliwafanya nini? Ikitajwa mwanza kuna watu wa kaskazini wanaumia sana, Yani kweli kaarusha ukafananishe na jiji la pili kwa ukubwa after Mwz in Tanzania, its really!
Which is the second largest city in Tanzania?
Mwanza City
Mwanza City, also known as Rock City to the residents, is a port city and capital of Mwanza Region on the southern shore of Lake Victoria in north-western Tanzania. With an urban population of 1,311,000 in 2023, it is Tanzania's second largest city, after Dar es Salaam.
Hadi mseme ,kibano Kiko pale pale ππToa Mwanza tuweke njombe wewe mkinga una tabu sanaπππ