ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Acha kukurupuka,Mwanza ni Jiji la Pili Kwa Mapato yapi? ππππMkuu,
Mbona una beza jiji la pili kwa mapato na uzuri wa kila aina mpaka watu wanabubujikwa na machozi in Lucas MWASHAMBWA π voices
Weka statistics mkuuπAcha kukurupuka,Mwanza ni Jiji la Pili Kwa Mapato yapi? ππππ
Utachekwa na wenzako wa Mwanza wakiona hii pumba
Hatufanyi kazi za marudio,pitia mada za nyuma utaonaWeka statistics mkuuπ
Wivu utakuua, mitaa ya ovyo ya Mwanza ni ile ya miliman kama kule mabatini na igogo au sahara kwa juu, mitaa yote iliyotambarare imepangwa na imepitiwa kwa barabara za lami, hata huko juu kuna mitandao ya barabara za mawe na sewage system nzuri sana ambayo ilipelekea wakenya kuja kujifunza, Arusha jiji haiwez kuizidi Mwanza jiji kwa mtandao wa barabara za lami, au kwa vile tunalilia sana barabara mkajua kweli hakuna barabara, Ilemela peke ake inatosha kubattle na Arusha kwenye upande wa barabara za lami zenye viwango, me sina mengi lakini cha kuongeza Ilemela peke yake inapiga chini Arusha kwenye poshy neighbourhood.Ukubwa wenye uhovyo na umaskini ndani yake unatusaidia nini?
Uzuri upi ambao Mwanza inao kushinda Arusha? Barabara zipi hizo? Mimi Mwanza na Arusha kote nafahamu siambiwi.
Taja barabara za arusha na urefu wake nikutajie za jiji la Mwanza, arusha nimeishi miaka miwili huko hakuna kitu ambacho wataishinda Mwanza labda sector ya utalii tu.Ukubwa wenye uhovyo na umaskini ndani yake unatusaidia nini?
Uzuri upi ambao Mwanza inao kushinda Arusha? Barabara zipi hizo? Mimi Mwanza na Arusha kote nafahamu siambiwi.
Mwanza yote ni hovyo na slums Kila sehemu hata huko Capripoint ni hovyo tuu na Kuna Nuka shombo ya Samaki Mji mzima.Wivu utakuua, mitaa ya ovyo ya Mwanza ni ile ya miliman kama kule mabatini na igogo au sahara kwa juu, mitaa yote iliyotambarare imepangwa na imepitiwa kwa barabara za lami, hata huko juu kuna mitandao ya barabara za mawe na sewage system nzuri sana ambayo ilipelekea wakenya kuja kujifunza, Arusha jiji haiwez kuizidi Mwanza jiji kwa mtandao wa barabara za lami, au kwa vile tunalilia sana barabara mkajua kweli hakuna barabara, Ilemela peke ake inatosha kubattle na Arusha kwenye upande wa barabara za lami zenye viwango, me sina mengi lakini cha kuongeza Ilemela peke yake inapiga chini Arusha kwenye poshy neighbourhood.
Kusoma hujui na picha huoni?Taja barabara za arusha na urefu wake nikutajie za jiji la Mwanza, arusha nimeishi miaka miwili huko hakuna kitu ambacho wataishinda Mwanza labda sector ya utalii tu.
Asante kiongozi tatizo watu wameweka mbele wivu na chuki bila kuangalia uhalia, nje ya Dar hakuna mji au mkoa wa kuizidi Mwanza kwa kila kitu.
Unaongolea Capripoint kama unaongelea matundu ya vyoo, huko kunashindana na Masaki na Oysterbay tu kwa nchi hii ya Tanzania.Mwanza yote ni hovyo na slums Kila sehemu hata huko Capripoint ni hovyo tuu na Kuna Nuka shombo ya Samaki Mji mzima.
Nilienda kule mnajenga DIT Kuna Nuka hatari Sasa sijui wale wanafunzi wataishije pale ππ
Weka picha niweke kila barabara kilometa na jina la barabara nitaanza za ilemela kwanza, nataka kukuambia kuwa Mwanza ni dude kubwa sana linalotisha sema ndo hivyo linanyimwa miradi lakini acha tuendelee kulijenga zaidi kwa nguvu zetu.Kusoma hujui na picha huoni?
Utakuwa umekoseaUNAPOTEZA HELA NYINGI BILA KUJUA!!!
Vifurushi unavyojiunga gb kila siku vinakupetezea hela nyingi sana sema unaweza tu usijue, mfano kama unatumia gb 1 tu kwa siku it means kwa mwezi unatumia zaidi ya 60000 kwaajili ya gb 30 tu. Sasa nakupa chimbo uokoe pesa na upate gb nyingi Sana
JIUNGE NA VIFURUSHI HIVI VYA TIGO POSTPAID
SH.25000/= unapewa GB 30(kwa mwez,kila mwez)
SH.30000/= unapewa GB 35(kwa mwez,kila mwez)
SH. 40000 UNAPEWA GB. 48(kwa mwez,kila mwez)
LAKI MOJA UNAPEWA UNLIMITED BUNDLE(kwa mwez,kila mwez) PAMOJA NA ROUTER BURE
HUDUMA NI ZA UHAKIKA NA UNALIPA MOJA KWA MOJA TIGO HUMTUMII MTU YOYTE HATA 100
(mm nakufanyia usajili nalipwa commission na tigo)
KARIBU SANA HATA UNIULIZE NIKUPE MAELEKEZO VIZURI ZAIDI
0717700921
Ukiombwa picha za slum kila mara unaleta ile picha yako ya Igogo, huna sera huna hoja, kila mji mkubwa haukosi kuwa na sehemu za watu maskini hata kule Jo' berg kuna slum za kufa mtu.Mwanza yote ni hovyo na slums Kila sehemu hata huko Capripoint ni hovyo tuu na Kuna Nuka shombo ya Samaki Mji mzima.
Nilienda kule mnajenga DIT Kuna Nuka hatari Sasa sijui wale wanafunzi wataishije pale ππ
Mwanza yote ni uswazi usituchoshe bana Kila mtu anajua hili.Ukiombwa picha za slum kila mara unaleta ile picha yako ya Igogo, huna sera huna hoja, kila mji mkubwa haukosi kuwa na sehemu za watu maskini hata kule Jo' berg kuna slum za kufa mtu.
Unajua wewe na hawara yako, wengine tunajua Mwanza ni jiji bora sana karibu kila idara.Mwanza yote ni uswazi usituchoshe bana Kila mtu anajua hili.
Nimeambiwa stand ya buzuruga imehamishiwa nyamhongoro Tena imejegwa kisasa na inavutia mno.. Arusha mpaka muda huu hawana stand za maanaaUkiombwa picha za slum kila mara unaleta ile picha yako ya Igogo, huna sera huna hoja, kila mji mkubwa haukosi kuwa na sehemu za watu maskini hata kule Jo' berg kuna slum za kufa mtu.
Mwanza Semeni shikamoo kaka Arusha ππππUnajua wewe na hawara yako, wengine tunajua Mwanza ni jiji bora sana karibu kila idara.
Ona huyu mbuzi wa Lamadi,Kwa hiyo GDP ndio Mapato? π€ͺπ€ͺ
Angalia "KAPYALU"" wewe Usifananishe MWANZA na VITU VYA OVYO OVYO..Ona huyu mbuzi wa Lamadi,Kwa hiyo GDP ndio Mapato? π€ͺπ€ͺ