Wivu utakuua Mwanza sio level za arusha, Mwanza wala haturingi tupo kimya kama hatupo๐๐๐๐Hapa ndio Kuna nini Cha maana? ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Mwanza ikashindane na Mbeya sio Arusha
Ilo godown la kutunzia mazao nalo lakuweka humu? Ongea na miradi ya mikoa mingine naona battle ya Mwanza na Arusha, bado mwanza inachangiwa na mbeya muda mwingine sumbuwanga na mbeya na bado ongeza na mikoa mingine.Mbeya hakuna mradi wa majengo ya serikali ni wapambanaji tupu ๐๐
View: https://www.instagram.com/p/DAY_dwkoMnr/?igsh=cWR6cGdudnE1anp6
Mwisho Mwanza Ina kipi Cha kuzidi Mbeya?
Kwa taarifa Yako tuu Kwa Sasa Mbeya (Chunya) ukiacha Madini na Pamba ndio mzalishaji Mkuu wa Tumbaku namba 2 Tanzania baada ya Tabora.
View: https://youtu.be/peb_SKnv_eE?si=h5Rc4ryAfY4WeRGZ
Hili nalo ni jengo la abiria la kiwanja cha ndege ebu acheni utani basi.
Hii battle imekuwa ya mbeya tena, kila mji unapenda kupatia umaarufu kupitia Mwanza๐๐Mbeya hakuna mradi wa majengo ya serikali ni wapambanaji tupu ๐๐
View: https://www.instagram.com/p/DAY_dwkoMnr/?igsh=cWR6cGdudnE1anp6
Mwisho Mwanza Ina kipi Cha kuzidi Mbeya?
Kwa taarifa Yako tuu Kwa Sasa Mbeya (Chunya) ukiacha Madini na Pamba ndio mzalishaji Mkuu wa Tumbaku namba 2 Tanzania baada ya Tabora.
View: https://youtu.be/peb_SKnv_eE?si=h5Rc4ryAfY4WeRGZ
Bonge moja la pichaWivu utakuua Mwanza sio level za arusha, Mwanza wala haturingi tupo kimya kama hatupo๐๐๐๐
View attachment 3110011
Endeleeni kujifariji na vitu vya ajabu ajabu mnavyo post ๐๐Bonge moja la picha
Hii Ina tofauti gani na hii hapa Mbeya ๐๐?
Porojo za politicians
Mwanza ni fireeeeLini arusha itafika level kama hizi za ujenzi hasa private sector, Mwanza๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Japo ni mbovu lakini ujumbe wenu huu๐๐๐
View attachment 3109427
Hakuna Mji hapo zaidi ya kusanyiko.la washamba.Mwanza ni fireeee
Post ya kishamba kuliko ushamba wenyeweHakuna Mji hapo zaidi ya kusanyiko.la washamba.
Arusha itaendelea kuwa Juu ya Mwanza siku zote ๐๐
View: https://x.com/ayubu_madenge/status/1845055096565936209?t=ONGBbjidwlJi2X1DtsSFLQ&s=19View attachment 3122962
View attachment 3122981
Watu wanafanya maendeleo na kuongeza miundombinu na kuinua uchumi lakini nyinyi mnakusanya ma land rover chakavu ya Tanzania nzima kwa maonesho.Hakuna Mji hapo zaidi ya kusanyiko.la washamba.
Arusha itaendelea kuwa Juu ya Mwanza siku zote ๐๐
View: https://x.com/ayubu_madenge/status/1845055096565936209?t=ONGBbjidwlJi2X1DtsSFLQ&s=19View attachment 3122962
View attachment 3122981
Arusha Ina maendeleo kuzidi Mwanza is big slum so kazaneni mnaweza karibiaWatu wanafanya maendeleo na kuongeza miundombinu na kuinua uchumi lakini nyinyi mnakusanya ma land rover chakavu ya Tanzania nzima kwa maonesho.
Sipimi maendeleo kwa idadi ya mabao yatokanayo na kupiga nyetoArusha Ina maendeleo kuzidi Mwanza is big slum so kazaneni mnaweza karibia
๐จ๐จ๐จ๐๐
Mbona kama anatuchamba๐๐๐๐ kumbe ukubwa wa mji unapimwa kwa maonesho ya land rovers.