Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hapa ndio Kuna nini Cha maana? ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ

Mwanza ikashindane na Mbeya sio Arusha
Wivu utakuua Mwanza sio level za arusha, Mwanza wala haturingi tupo kimya kama hatupo๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡
IMG-20240929-WA0008.jpg
 
Mbeya hakuna mradi wa majengo ya serikali ni wapambanaji tupu ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAY_dwkoMnr/?igsh=cWR6cGdudnE1anp6

Mwisho Mwanza Ina kipi Cha kuzidi Mbeya?

Kwa taarifa Yako tuu Kwa Sasa Mbeya (Chunya) ukiacha Madini na Pamba ndio mzalishaji Mkuu wa Tumbaku namba 2 Tanzania baada ya Tabora.

View: https://youtu.be/peb_SKnv_eE?si=h5Rc4ryAfY4WeRGZ

Ilo godown la kutunzia mazao nalo lakuweka humu? Ongea na miradi ya mikoa mingine naona battle ya Mwanza na Arusha, bado mwanza inachangiwa na mbeya muda mwingine sumbuwanga na mbeya na bado ongeza na mikoa mingine.
 
Mbeya hakuna mradi wa majengo ya serikali ni wapambanaji tupu ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DAY_dwkoMnr/?igsh=cWR6cGdudnE1anp6

Mwisho Mwanza Ina kipi Cha kuzidi Mbeya?

Kwa taarifa Yako tuu Kwa Sasa Mbeya (Chunya) ukiacha Madini na Pamba ndio mzalishaji Mkuu wa Tumbaku namba 2 Tanzania baada ya Tabora.

View: https://youtu.be/peb_SKnv_eE?si=h5Rc4ryAfY4WeRGZ

Hii battle imekuwa ya mbeya tena, kila mji unapenda kupatia umaarufu kupitia Mwanza๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ
 
Back
Top Bottom