Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Wewe ni mshamba kwamba mzungu aje kushangaa hotels za hukoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚are you crazy zile takataka nikileta list hapa usikimbie ... sibishani na washamba

Bongo wanakuja kuangalia wanyama kwa level za uswahili huko ndo Kuna hotel sio kwamba ni Bora ..tukizungumzia utalii wa majengo na mahoteli tunazungumzia ile hotels namba moja duniani kubwa kule Saudi na hotels zenye miundo mizuri huko Dubai ,marekani, Brazil .
 
Hebu kagoogle kwanza then uje ...πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nani amekwambia mi mgogo..?Mwanza hakuna k2 kama unabisha leta tuone
Nishakuletea huko facilities hujaziona au .. unasubiri rafik ako sunk akusaidie kujenga hoja au
 
Iyo ofisi ni Makini hakuna shaka, leta mizigo ya kutosha unaanza ku tupia nyumba moja moja ili nn
Wakati naleta mzigo na wew ulete wako ..... other wise sitaki unienjoy
 
Mpambano ndio kama umehamkaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Iyo ofisi ni Makini hakuna shaka, leta mizigo ya kutosha unaanza ku tupia nyumba moja moja ili nn
Tupia aerial view za mitaa za maporini arusha sio kajumba kamoja kamoja kama ile jamaa ya njombe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…