Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Wewe ni mshamba kwamba mzungu aje kushangaa hotels za huko😂😂😂are you crazy zile takataka nikileta list hapa usikimbie ... sibishani na washambaUnadhihirisha ushamba wako. The best hotels zipo huko. Jaribu basi ata kutumia google vizuri au nao mtihani maana ukishakuwa mtu wa mwanza mpaka vyoo vya kukalia mnafundishwa kutumia karne ya 21. I rest my case. Fata juu huko kuna data nimeweka kwenye posts zangu. Majini ni Dar na Arusha. Mengine tujipe moyo tu.
Bongo wanakuja kuangalia wanyama kwa level za uswahili huko ndo Kuna hotel sio kwamba ni Bora ..tukizungumzia utalii wa majengo na mahoteli tunazungumzia ile hotels namba moja duniani kubwa kule Saudi na hotels zenye miundo mizuri huko Dubai ,marekani, Brazil .