Tulia wew ... usitumie nguvu sana .utaumia[emoji116][emoji116]Watoto wa Mwanza niliwaambia Hamuiwezi Arusha mlaleta midomo haya sasa pangueni hii mizigo kama kweli mnajiweza View attachment 2467141View attachment 2467142View attachment 2467143View attachment 2467144View attachment 2467145View attachment 2467146
Hii ligi huiwezi big [emoji116]Unanichagulia silaha ya kukuulia?
We hapo umepist nn sasa
Ndio nini yani? Mkusanyiko wa washa mba wa mwanza katika camera mbovu? π€£Naona umekimbilia kwenye hotels ukihisi ndio utaokoka [emoji116][emoji28][emoji28]
Tunza beach resort [emoji3059][emoji319]View attachment 2467136View attachment 2467137View attachment 2467138View attachment 2467139
Hili ni goli kali akichomoa hapa natoka jf...Mwanza 4 arusha 1Naona umekimbilia kwenye hotels ukihisi ndio utaokoka [emoji116][emoji28][emoji28]
Tunza beach resort [emoji3059][emoji319]View attachment 2467136View attachment 2467137View attachment 2467138View attachment 2467139
Cheza fair game, usitake kufunga kwa mkono hizi picha umerudi tena angalia post yako hapo juu kama umeishiwa sema tu, mwanza inaendelea kuwakimbiza.... Mikdde endelea kugongelea misumali.Watoto wa Mwanza niliwaambia Hamuiwezi Arusha mlaleta midomo haya sasa pangueni hii mizigo kama kweli mnajiweza View attachment 2467141View attachment 2467142View attachment 2467143View attachment 2467144View attachment 2467145View attachment 2467146
OyaaTulia wew ... usitumie nguvu sana .utaumia[emoji116][emoji116]View attachment 2467151View attachment 2467153View attachment 2467154
Umekalia domo tu leta picha sisi watazamaji tutoe point, Mwanza ndio mji wenye magorofa makongwe ya muda mrefu, na magorofa hayajaanza juzi, ndio maana ilitangilia kuitwa jiji baada ya miaka 15 ndio na kijiji cha arusha kikawa na hiyo hadhi.Ukiangalia mwanza utagundua hivyo vighorofa uchwara ni vya juzi tena enzi za mwendazake, ndio maana wana wenge sana, hawajazoea yani. Mi naogopa Arusha wakija wenyewe hasa wale. Mwanza will be pulverised, mwanza jamani mjivunie kuzaliana tu. Mambo ya urbanisation, class, waachieni Arusha. Hakuna mtu anawawaza mwanza yani. Kaleni mapanki sasa. Mmeshindwa kupangua report ya NBS kuhusu idadi ya maghorofa, mmeshindwa kupangua list ya maghorofa marefu Tanzania, mpompo tu. Embu tafuteni ligi na Singida au iringa. By the way mji wa moshi umewazidi pia. Pua, pua.
We kazi unayoweza ni kupanua mdomo tu mbona usilete picha?Cheza fair game, usitake kufunga kwa mkono hizi picha umerudi tena angalia post yako hapo juu kama umeishiwa sema tu, mwanza inaendelea kuwakimbiza.... Mikdde endelea kugongelea misumali.
Umekalia kusema ushamba je ushamba ni nini??Ndio nini yani? Mkusanyiko wa washa mba wa mwanza katika camera mbovu? π€£
I love [emoji177] you mwanza ... Arusha,,,dodoma ndio size yenu [emoji28][emoji116]
Mikdde hawana vitu hao wameishiwa, naona wameweka ka mall kao, wamalize na rock city mall, then nenda houses za bwiru, nyasaka, mwanchi, isamilo, capripoint tumalize mpira kwa ushindi mnono.Wakati ukiendelea kutafutiza vihotel ....
Usisahau kutuletea na resorts Kali kama hizi[emoji116][emoji116]View attachment 2467175View attachment 2467177View attachment 2467178View attachment 2467180
Nyerere road [emoji91][emoji91]We kazi unayoweza ni kupanua mdomo tu mbona usilete picha?
Sijaona mji hapa wa kushindana na Mwanza adi nilete picha kisa nashindana na pori la wamasaiππππWe kazi unayoweza ni kupanua mdomo tu mbona usilete picha?
Hii ryan bay ingekuwa arusha wangesma ni hotel ya nyota tano lakini kwa mwanza hii ni nyota moja.I love [emoji177] you mwanza ... Arusha,,,dodoma ndio size yenu [emoji28][emoji116]View attachment 2467185View attachment 2467186View attachment 2467187
Baada vihotel kuisha ..[emoji12][emoji12]huko kwenye mijumba si watakufa [emoji28][emoji28].ngoja niwape location Kali kwanza za kubreeze upepo wa ziwa [emoji116]Mikdde hawana vitu hao wameishiwa, naona wameweka ka mall kao, wamalize na rock city mall, then nenda houses za bwiru, nyasaka, mwanchi, isamilo, capripoint tumalize mpira kwa ushindi mnono.
Mwanza hakuna Hotel ya nyota 5 hata mojaHii ryan bay ingekuwa arusha wangesma ni hotel ya nyota tano lakini kwa mwanza hii ni nyota moja.
Leta za nyota tano arusha tulinganishe na za nyota moja za mwanza, acha maneno weka mziki naona umeshakubali kugongelewa mabao tu.Mwanza hakuna Hotel ya nyota 5 hata moja
Hii yote ni Mwanza au unaleta na picha za cape townπππππTunataka Leo tuweke somo Kwa vigwalanganza wa huko zizini wakome mazoea[emoji116]View attachment 2467202View attachment 2467203View attachment 2467204View attachment 2467205View attachment 2467207