Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hata dodoma ni kiboko kuna mabuyu zabibu karanga nk mndobishana hamjitambui ila kila mkoa unasifa yake, navyo juwa kwenye wazungu wengi ndiyo pazuri ukibisha shauri yako.
Wanawatia ushoga tu na wazungu wanatalii Kilimanjaro, manyara na mara. Hapo wanakuja kuwaharibu machalii na mnavyowashobokea sasa
 
Kesho naongeza picha humu. Wakitaka jengo Moja Moja tutaendana nao mpaka wanyooshe mikono. Naweka kambi hapa kuanzia kesho. Leo acha niwe mtazamaji.
Na mm kesho nakuwa mtazamaji ...yaani kesho weka vitu Hadi mazoea yakate ....jamaa kiherehere kimemkata ..[emoji12][emoji28]
 
Hata dodoma ni kiboko kuna mabuyu zabibu karanga nk mndobishana hamjitambui ila kila mkoa unasifa yake, navyo juwa kwenye wazungu wengi ndiyo pazuri ukibisha shauri yako.
Siyo Nia yetu tumejaribu kuvumilia tumechoka, sasa tumeamua kujibu labda tembelea Uzi kuanzia mwanzo utaelewa
 
Hata dodoma ni kiboko kuna mabuyu zabibu karanga nk mndobishana hamjitambui ila kila mkoa unasifa yake, navyo juwa kwenye wazungu wengi ndiyo pazuri ukibisha shauri yako.
[emoji15][emoji33] tuondolee takataka we mgogo wa ntyuka
 
Takataka tena usitowe povu kuwa mpole kwani kinacho wapa kiburi nini hasa wasukuma.
 
Kama watu tunaobishana nao ndo Hawa basi tunasafari ndefu sana ya kuwaelewesha
 
Unaongea sana....bila shaka wew ni mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…