Kesho naongeza picha humu. Wakitaka jengo Moja Moja tutaendana nao mpaka wanyooshe mikono. Naweka kambi hapa kuanzia kesho. Leo acha niwe mtazamaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho naongeza picha humu. Wakitaka jengo Moja Moja tutaendana nao mpaka wanyooshe mikono. Naweka kambi hapa kuanzia kesho. Leo acha niwe mtazamaji.
Wanawatia ushoga tu na wazungu wanatalii Kilimanjaro, manyara na mara. Hapo wanakuja kuwaharibu machalii na mnavyowashobokea sasaHata dodoma ni kiboko kuna mabuyu zabibu karanga nk mndobishana hamjitambui ila kila mkoa unasifa yake, navyo juwa kwenye wazungu wengi ndiyo pazuri ukibisha shauri yako.
Na mm kesho nakuwa mtazamaji ...yaani kesho weka vitu Hadi mazoea yakate ....jamaa kiherehere kimemkata ..[emoji12][emoji28]Kesho naongeza picha humu. Wakitaka jengo Moja Moja tutaendana nao mpaka wanyooshe mikono. Naweka kambi hapa kuanzia kesho. Leo acha niwe mtazamaji.
Siyo Nia yetu tumejaribu kuvumilia tumechoka, sasa tumeamua kujibu labda tembelea Uzi kuanzia mwanzo utaelewaHata dodoma ni kiboko kuna mabuyu zabibu karanga nk mndobishana hamjitambui ila kila mkoa unasifa yake, navyo juwa kwenye wazungu wengi ndiyo pazuri ukibisha shauri yako.
[emoji15][emoji33] tuondolee takataka we mgogo wa ntyukaHata dodoma ni kiboko kuna mabuyu zabibu karanga nk mndobishana hamjitambui ila kila mkoa unasifa yake, navyo juwa kwenye wazungu wengi ndiyo pazuri ukibisha shauri yako.
Unanijua broNa mm kesho nakuwa mtazamaji ...yaani kesho weka vitu Hadi mazoea yakate ....jamaa kiherehere kimemkata ..[emoji12][emoji28]
We nawe na umri wako unakuja kubishana na vijana huoni aibuTakataka tena usitowe povu kuwa mpole kwani kinacho wapa kiburi nini hasa wasukuma.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji15]View attachment 2467322
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787]
NAona umetuletea chuo Cha uhasibu .no longer a hotelWatoto wa Mwanza mnakelele alafu hamna vifaa, Acha niwamalize leoView attachment 2467117View attachment 2467118View attachment 2467119
Unaongea sana....bila shaka wew ni mwanamkeUkiangalia mwanza utagundua hivyo vighorofa uchwara ni vya juzi tena enzi za mwendazake, ndio maana wana wenge sana, hawajazoea yani. Mi naogopa Arusha wakija wenyewe hasa wale. Mwanza will be pulverised, mwanza jamani mjivunie kuzaliana tu. Mambo ya urbanisation, class, waachieni Arusha. Hakuna mtu anawawaza mwanza yani. Kaleni mapanki sasa. Mmeshindwa kupangua report ya NBS kuhusu idadi ya maghorofa, mmeshindwa kupangua list ya maghorofa marefu Tanzania, mpompo tu. Embu tafuteni ligi na Singida au iringa. By the way mji wa moshi umewazidi pia. Pua, pua.
Low budget road[emoji2][emoji2][emoji1787]Unatafuta excuse...hapa sio mwanza vs dar ....,,,kiherehere chote kwishney
Makongoro avenue 10 km [emoji116]View attachment 2467310View attachment 2467311View attachment 2467312View attachment 2467313View attachment 2467315View attachment 2467316
Iyo ni 5* hotel Ngurdoto kama hunui uliza Acha kupayukapayuka...NAona umetuletea chuo Cha uhasibu .no longer a hotel
😂😂😂😂
Hujui ishafungwa au ..aliyekupa hizo picha Hana akili....ngurudoto ishajifia kitambo ..Iyo ni 5* hotel Ngurdoto kama hunui uliza Acha kupayukapayuka...
Mtu mweny anatumia tecno w3 kupiga picha😂😂😂
Ushaanza kujitetea si umeomba barabara kama hiyo ya tengeru ..tumekupa sasa unataka nini ..Low budget road[emoji2][emoji2][emoji1787]
Ilishakufa na alikuwa na madeni kibao ya wahudumu na wafanyakazi..Iyo ni 5* hotel Ngurdoto kama hunui uliza Acha kupayukapayuka...