Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Acha ulofa bangi zilishaharibu centre of judgement. Hujakosea kujiita pwagu. Mbona hata shuleni tunawanyuka kila angle?.
Center of judgement ndio kitu gani? hujui ata unachoongea, Ni hivi we kinyeo, Mwanza hamuiwezi Arusha kwa lolote. Mjadala umeisha. Wenzenu wanaweka data mnataka picha, mijitu mishamba bana. Mwanza vs Kilimanjaro, Mwanza vs Iringa ndio fair battle mbwiga nyie. Mpo overrated, Mwanza haina ata hadhi ya jiji, watu wenyewe hamjui lolote mpompo tu huko mwisho wa dunia madongo kuinama. Mwanza ni SI unit ya ushamba. Ukitaja Mwanza duniani, kinachokuja kichwani mwa watu ni USHAMBA. WASHAMBA. Synonymous to USHAMBA. MAMBWIGA. Mwanza ni shambani tu. Kitu mwanza anaishinda Arusha ni imani za kishirikina na ujinga.
 
Acha kutumia kijambio chako kufikiria wewe, wazungu washakuharibu tayari fala kweli.
Kijambio mwenzio huyo eti anasema mwanza in GDP kubwa, kubwa ya nyoko, halijui linachoongelea. Typical mwanza. Ndio maana hamtakiwi ata kujilinganisha na Kilimanjaro, Let alone Arusha, wamewazidi mbali sana.
 
Tunahangaika na shoga wa kaloleni. Hujui centre of judgement????. Mwehu aliyechangamka wewe ndo maana nikasema tunaobishana na watumia boa, bangi na mirungi wakitoka hapo wanaenda kupiga debe stand na baadaye wanajipeleka kwa wazungu kubong'olewa
 
Kijambio mwenzio huyo eti anasema mwanza in GDP kubwa, kubwa ya nyoko, halijui linachoongelea. Typical mwanza. Ndio maana hamtakiwi ata kujilinganisha na Kilimanjaro, Let alone Arusha, wamewazidi mbali sana.
Wewe pwagu tu kama jina lako lofa wewe.
 
Tunahangaika na shoga wa kaloleni. Hujui centre of judgement????. Mwehu aliyechangamka wewe ndo maana nikasema tunaobishana na watumia boa, bangi na mirungi wakitoka hapo wanaenda kupiga debe stand na baadaye wanajipeleka kwa wazungu kubong'olewa
Nipo Dar ila arusha naijua sana wamewazidi. Pasuka wamewazidi saaana washamba.
 
Upo dar ya nyoko, kwani ukisema upo unga limited tutakubishia?
Naenda soon. Popular destination in Tanzania. Mwanza ata hakuna mtu anapawaza. Mwaka jana mdogo wangu kapata kazi ya maana mwanza kakaa miezi 5 kaona mwanza kumepoa kasepa. Yani mnatia huruma, mnapitwa na kila jambo duniani. mwanza kubayaa, kwa kishambaa.
 
Ushamba mzigo aliona Bora akaungane na washamba wenzie ngendere kama wewe, vivutio vya wazungu
 
Nimesoma comment zako .unaonekana ni mtu usiyejua kujenga hoja na hauna logic yoyote zaidi ya kubwabwaja na kutafuta attention and popurality ..ila you're nothing ...
Mapato ya kikodi hayareflect direct economic situation ya eneo husika ...hasa lazima auangalie ni ipi source ya hayo mapato ....
Arusha Ina idadi kubwa ya hotel na tourist agency ambao wanatozwa kiwango kikubwa Cha Kodi .VAT pamoja na direct tax ....the same applies Kwa Kilimanjaro ambao wana KIA na kINPA .
vyanzo vikubwa vya mapato arusha na Kilimanjaro ni hivi[emoji116]
1 .ngorongoro conservation
2 . TANAPA
3 . hotels
4.tourist agency and corps
5.kIA
6 Mount Kilimanjaro
7.AICC
hayo mashirika yanatoa kiwango kikubwa Cha Kodi ...
unfortunately biashara sio source kubwa ya mapato arusha ukilinganisha na mwanza au dar .hivyo mapato ya arusha yamekuwa sourced na mashirika na yamebebwa na hizo taasisi na sio watu ..
 
Mwanza siku zote Ni mkia ,haina uwezo wa kushindana na Arusha.[emoji116]

Arusha imeslump kiuchumi na sasa inalingana per Capita income na mwanza ...
Mwanza Ina 3.4 milion (imepanda Toka nafasi ya 13 Hadi 8)
Arusha Ina 3.4 milion [emoji28][emoji28](imeshuka Hadi nafasi ya 7)[emoji12][emoji12]
Hii inatokana na ukubwa wa mapato ya uchumi wa mwanza.kufikia trilion 12.6 wakati arusha wakiwa na mapato ya mkoa mzima ni trilion 8.1 Kwa mwaka 2022 .gap Ni trillion 4.5 [emoji28][emoji116]
Picha ya juu ni table inayoonyesha GDP nominal ,,,GDP per Capita ,rank na difference ya Pato Kwa mwaka uliopita na huu
 
Sikia hili zuzu eti Arusha hawana mapato ya biashara. Uchizi mwingine wa ukubwani huu. Arusha kumbuka haitegemei ofisi za serikali, wakazi wake asilimia kubwa ni wafanya biashara, utalii umehodhiwa na makampuni. We acha utahira wako. We uzeni samaki kwa wingi maana tukiacha kula samaki mwanza ita paralyse. Hakuna cha maana hapo.
 
Majiji Tanzania yanayotambulika kimataifa.
1.Arusha
2. Dar es salaam.
Mwanza kaa na wenzio huko kina dodoma, iringa, Tanga hao kwanza pia wanahatihati ya kuwazidi. Mashenzi. Jiji la pili baada ya Dar kwa mapato na vigezo na ukisasa ni Arusha. Mwanza ni ushuzi tu.
 
Tunahangaika na shoga wa kaloleni. Hujui centre of judgement????. Mwehu aliyechangamka wewe ndo maana nikasema tunaobishana na watumia boa, bangi na mirungi wakitoka hapo wanaenda kupiga debe stand na baadaye wanajipeleka kwa wazungu kubong'olewa
Alafu mwanza wanadhani watu wa arusha bado wanashangaa ngozi nyeupe. Wenzenu wanaona kawaida sana, sio kama nyie mzungu wa young killa akija mwanza, mnaacha shughuli zote kwenda kushangaa, nothing is happening in mwanza. By the way metro area ya arusha ni kuuubwa kuliko mwanza
 
Mngekuwa na mapato ya biashara tungeona mko top kwenye mapato ya halmashauri na GDP ... halmashauri mnakusanya bilioni 42 mkoa mzima ..maana yake biashara zenu hazilipi license,au hazitoi service levy [emoji12][emoji12]
Mapato ya mkoa mzima na trillion hamjafikia two digit.. biashara Gani ...
[emoji116][emoji116]
 
Ukitaka current angalia figure kule juu[emoji867][emoji867]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…