Wewe ni kenge mwenye madoa meusi na meupe, wenzako wanaleta picha we unaleta domokaya.Kwahyo hizo zilizotumwa humu ni sangara? Stupid Maggot
Wewe jamaa ukweli umeshaujua.. huwezi shindanisha Mwanza na mavi..NeverSuala ni Mwanza vs Arusha
Ila ukitaka twende mimi vs wewe inakubalika pia
Kenge ulitaka awe na madoa mekundu?fala weWewe ni kenge mwenye madoa meusi na meupe, wenzako wanaleta picha we unaleta domokaya.
Mwanza ni kijiji kikubwa tu hakuna kitu cha kumtisha nacho mtu pole sanaWewe jamaa ukweli umeshaujua.. huwezi shindanisha Mwanza na mavi..Never
Usirudie kufananisha Mwanza na Arusha wakati unajua ikitoka Dar ni Mwanza. Yaani Arusha inapitwa hadi na Zanzibar[emoji38][emoji38]
Umeishiwa asee mnatuletea mgodi wa kokoto 🤣🤣🤣daaah
Huna jipya bhana usinisumbueSuala ni Mwanza vs Arusha
Ila ukitaka twende mimi vs wewe inakubalika pia
Si ulisema unatuzidi elimu au umesahau ulichosemaSuala ni Mwanza vs Arusha
Ila ukitaka twende mimi vs wewe inakubalika pia
Sa mbona maghorofa ya Arusha hatuyaoniMwanza ndio jiji ambalo lina ghorofa 2400 alafu mnasema kumejengeka?mmejenga vibanda mji mzima
Nitolee uzombieKenge ulitaka awe na madoa mekundu?fala we
Leta pori la arusha tushindanishe na kijiji.Mwanza ni kijiji kikubwa tu hakuna kitu cha kumtisha nacho mtu pole sana
Majiji Tanzania in descending order.Leta pori la arusha tushindanishe na kijiji.
Mbona unajitetea sana ..[emoji28]nin tatizoMajiji Tanzania in descending order.
1. Dar es Salaam
2.Arusha
Haya ndio majiji proper kwa hadhi za kimataifa. Yenye kila kitu kinacholifanya jiji kuwa la kimataifa. Haya yanayofata ni upcoming. Yaliharakishwa kisiasa tu. Mwanza ni idadi kubwa tu ya watu ndio inawaweka hapo, lakini haiwezi ku accomodate delegation ya rais wala hakuna kiongozi wa Developed country amewahi kwenda na kulala mwanza, sababu zipo wazi. Pia eneo la jiji wamechukuwa wilaya ambazo kimsingi hazikupaswa ata kuingizwa pale.
3. Dodoma
4. Mwanza
5. Tanga
6. Mbeya
Maraisi wa Dunia wanaweza kulala Arusha kama Bush, akafanya mikutano na mambo yakawa sawa, Haya basi Mwanza waaandae mikutano sijui kwanza hata kama wanaelewa City ni infrastructure ,wanadhani wao kua wengi na kurusha matusi humu itasaidiaMajiji Tanzania in descending order.
1. Dar es Salaam
2.Arusha
Haya ndio majiji proper kwa hadhi za kimataifa. Yenye kila kitu kinacholifanya jiji kuwa la kimataifa. Haya yanayofata ni upcoming. Yaliharakishwa kisiasa tu. Mwanza ni idadi kubwa tu ya watu ndio inawaweka hapo, lakini haiwezi ku accomodate delegation ya rais wala hakuna kiongozi wa Developed country amewahi kwenda na kulala mwanza, sababu zipo wazi. Pia eneo la jiji wamechukuwa wilaya ambazo kimsingi hazikupaswa ata kuingizwa pale.
3. Dodoma
4. Mwanza
5. Tanga
6. Mbeya
Maybe hujui kama arusha hamjafikia vigezo vya Jiji [emoji116]Maraisi wa Dunia wanaweza kulala Arusha kama Bush, akafanya mikutano na mambo yakawa sawa, Haya basi Mwanza waaandae mikutano sijui kwanza hata kama wanaelewa City ni infrastructure ,wanadhani wao kua wengi na kurusha matusi humu itasaidia
Ndo nin sasa hiki[emoji83]
DagaaNdo nin sasa hiki[emoji83]
Ukipata hotel au resorts yenye mandhari makali kushinda hapa [emoji116] nitaggDagaa