Kama vile kina Mramba,Msuya na Mama Mkapa kupitia Mh.Mkapa walivyowapendeleeni miaka hiyo mkawa mnajiona mna uwezo wa kujenga.JPM kawaonjesheni kidogo tu tamu ya kupendelea anakotokea mlitaka kulipuka kwa makasiriko.Wamshukuru sana jiwe hawa,aliwapa upendeleo flani [emoji1787]
Amekuja kujipendekeza Mwanza,hakuna aliyemuhitaji,angebaki huko huko UchaganiGold crest hotel ya mchaga hio [emoji1787][emoji1787],mtu anatoka kaskazini anaenda kuwajengea hotel,wenyeji wanavua dagaa tu [emoji3]
Na Daraja la wami la kuwasaidieni msiliwe na Mamba mkiwa mnakwenda kwenu alijenga nani?Kikwete huyo Magu hausiki na alivokua anachukia hii kanda ulitegemea ajenge nini?[emoji16][emoji16]
Hapo pa waoza meno [emoji3][emoji3]huu uzi nilikuwa naupita tu bila kuufungua na kusoma yaliyomo.
nasemaje, nasemaje, mwanza piga haooooo,piga hao waoza meno.[emoji1787]
Ila nyie ni wapuuzi sana Sasa picha za misosi ni za nini? Huku ni kuishiwa ,acheni utoto basi.
Una makelele mengi sana bila content..Ukubali tu huna cha kupost na 'utima' wako.Kama ulijua ni vya kitoto why umepiga kambi sasa kwa huu uzi na unajua huu uzi unasindikizwa na evidence za picha?
Wewe ni mpumbavu taslimuHakuna takwimu iliyotukataa ata Dar inakaa kwa majengo kwa Mwanza, haya ukija kwenye postkodi ukija kwenye elimu, afya huduma za kijamii, idadi ya watu kila kitu hamjagusa sasa nambie wewe, arusha imeizidi nini Mwanza?
Vipi umeacha kupost picha za Mwanza na unasema ni za Chuga?Una makelele mengi sana bila content..
Fikeni size hii ya Chuga ndio uje kupayuka
Chuga [emoji91][emoji91]View attachment 2523880
Utaongeleaje Mwanza bila kutaja samaki? Au kisa Arusha hakuna lake ndio roho imekuuma [emoji38][emoji38]Ila nyie ni wapuuzi sana Sasa picha za misosi ni za nini? Huku ni kuishiwa ,acheni utoto basi.
Unachekesha sana.Hakuna mtu yeyote kutoka mwanza anaweza kunieleza kitu,SI unit, yani kipimo cha washamba. Nyie fanyenu battle na singida, kahama huko. Miji ya kimataifa achaneni nayo. Eti mwanza kwanza ni aibu ata kutaja ujanja na mwanza na ujanja kwenye sentensi moja. Hakuna battle tusisumbane, nipo arusha pyramids kama unapajua malofa nyie mashamba hamtuwezi kwa lolote. Yani kwa lolote.
Huku Barmaids wengi ni kutoka Arusha na singida.Afu Arusha kuna watoto wa mwanza kibao hawataki kurudi tena shamba city. Hakuna swaga jiji kijiji.
Umeshavurugwa na chelshit yako, hii Mwanza ndio itakutia uchizi kaa kwa kutulia upunguze stress ulizonazo we mbwiga tu.Ivi nyie washamba wa mwanza bado munaleta ujiaji tu?
Tuanze kudondosha mapicha apa mukimbiye?
Utaprove ubora wa mji kwa maneno, ata samia alitoa video ya royal tour watu waone vitu vilivyopo Tanzania, kwa hiyo angepeleka maneno tu huko nje bila picha?Yani picha eti ndio kigezo cha jiji kuwa zuri. Shamba city wanafeli sana
Leta tuzione acha maneno😝😝😝Izi takataka mbona zimejaa nyingi huku chugastan asee au unataka picha 😀😀🤣
Hasa huyo msuya ndio alikuwa fala sana alipeleka umeme adi kwenye migomba, barabara adi kwenye vichochoro, huyo msuya alikuwa mbaguzi sana, pili mkapa alipeleka maendeleo sana huko kaskazini kuliko sehemu yoyote kwa nguvu ya mke wake kwasababu alikuwa mchaga, walikuwa wamezoea maendeleo ya mbeleko akaja jemedari akasema kila sehemu inastahili kupata maendeleo ikawa tabu kwao na kuanza kumchukia magufuli, uzuri Rais Samia amesha wajua hao watu naye amewakatia mirija ya mbeleko.Kama vile kina Mramba,Msuya na Mama Mkapa kupitia Mh.Mkapa walivyowapendeleeni miaka hiyo mkawa mnajiona mna uwezo wa kujenga.JPM kawaonjesheni kidogo tu tamu ya kupendelea anakotokea mlitaka kulipuka kwa makasiriko.
Kuna hotel gani kubwa ya mchaga hapo Mwanza, wamezoea kuchuma mikoani na kwenda kujenga migombani.Hotel za Wachaga kwanini wasizijenge huko kwao waje wajipendekeze kuzijenga Mwanza?
Lile jengo ni la shirika, ile hotel ilikuwa inasimamiwa na HR wa kichaga lakini sasa kuna mkenya pale, hakuna hotel kubwa ya mchaga hapa Mwanza!Amekuja kujipendekeza Mwanza,hakuna aliyemuhitaji,angebaki huko huko Uchagani