Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Halafu ujiulize watu waliopendelewa toka uhuru wanatolewa na jasho na waliopendelewa miaka 5, huu si uzembe wa hali ya juu
 
Vipi umeacha kupost picha za Mwanza na unasema ni za Chuga?
Mjuba amewachanganya? 🤣 🤣 🤣 Mwanza panaweza kufika hivyo? Na icho ni kijipande, watu wa arusha hawana muda tu na upuuzi wakiamua mwanza mtajua hamjui
 
Arusha tunawazidi Mwanza ni Clock tower tu 😛 😛 😛
 
Mnajichosha tu kubishana na hawa wavuta bangi.. Kila mtu anaelewa hapa nchin majiji ni mawil tu Dar na Mwanza
Kila mtu nani? Obama labda? Bill Clinton, Bill Gates? Jeff Bezos? Kina Abramovic nk. Hawa na wengine kibao wanapasuaga mitaa ya atown na watu wamezoea.
 
Hapo ndo basi unajikuta yaani lofa wewe...
 
Ungejua tunawadharau tunawaona hamna akili, eti moyoni. Shamba city bana. Watu wamewapuuza tu. Maana mnaonekana malimbukeni na vipicha picha 🤣🤣
Acha uboya wewe unapokuwa unaambiwa thibitisha basi tuma picha au data siyo maneno maneno. Hiki siyo kijiwe Cha pombe na bangi hapa tunatembea na facts. Vinginevyo battle Haina maana na mlianzisha wenyewe siyo sisi. Mnaanza kutia huruma mbona kipindi hatuwajibu mlikuwa na mnajitanua hapa.
 
Afu Arusha kuna watoto wa mwanza kibao hawataki kurudi tena shamba city. Hakuna swaga jiji kijiji.
Huu ndo ulimbukeni sasa, ongelea vitu vyenye ushawishi. Kwamba Mwanza Haina watoto wa Arusha wasitaka kurudi kwao?. Kila baa utawakuta halafu bishana kwa akili hatuendi hivyo
 
Elimu ndogo, hawajui tofauti ya florosis na dental caries. Na kwa taarifa yako hayo meno ni magumu sana, na pia misukuma kibao ina meno yenye rangi kama hao watu wa Arusha.
 
Elimu ndogo, hawajui tofauti ya florosis na dental caries. Na kwa taarifa yako hayo meno ni magumu sana, na pia misukuma kibao ina meno yenye rangi kama hao watu wa Arusha.
Ni kweli, mtu mwenye hayo meno akikupiga bite nenda kachanje mbali na hapo ni RIP
 
Huu ndo ulimbukeni sasa, ongelea vitu vyenye ushawishi. Kwamba Mwanza Haina watoto wa Arusha wasitaka kurudi kwao?. Kila baa utawakuta halafu bishana kwa akili hatuendi hivyo
Bar maid wengi wa Tabora wanatokea Chugga
 
We mpuuzi na hio infinix uliyohongwa na shemeji yako[emoji3][emoji3]

Hauna hela
 
Ni kweli, mtu mwenye hayo meno akikupiga bite nenda kachanje mbali na hapo ni RIP
Hayo meno ya rangi sio kuoza. Pia shinyanga na mwanza kuna wasukuma kibao nao wanarangi kwenye meno
Mkuu ukiona mada inakuboa kwakuwa watu wameng'ang'ania Magorofa tu unaachana nayo na hutoona ukijibiwa
Maghorofa mwanza ni issue. Ndio wameanza kuyaona juzijuzi tu. Unategemea nini? Niliwapa list ya maghorofa marefu Tanzania, Mwanza hakuna ata moja. Mwanza ni malimbukeni ndio maana wanajishindanisha na Arusha, huwezi kuta watu wa ARUSHA wanahangaika kujilinganisha na mwanza, hawapo insecure.
 
Bar maid wengi wa Tabora wanatokea Chugga
Na wengi huwa ata hawaijui Arusha , kwa kuwa wanajua hamna exposure mnachanganya lafudhi, wanawachomekea mnaingia mkenge, we mtoto wa makao mapya eti akawe bar maid tabora au mwanza, mtajua hamjui, uko wanakuja wambulu wa hanang na wanyaturu kula ela za washamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…