Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Tulia nikunyooshe ...si unataka picha[emoji106]Tactic mna Bei gani Nyamagana na Ilemela?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia nikunyooshe ...si unataka picha[emoji106]Tactic mna Bei gani Nyamagana na Ilemela?
Mwanza ilishashinda kitambo ..Ila hao wavaa mitumba mpaka wakubali sio leo..Temana nao.We ongea tu ila kwenye poll mnakula za uso Kila Kona[emoji116]View attachment 2465648View attachment 2465650
Mwanza labda ishindane na tabora ndio ishindeMwanza ilishashinda kitambo ..Ila hao wavaa mitumba mpaka wakubali sio leo..Temana nao.
Punguza makasiriko kuwa mkweli Mwanza ni ya pili ,,level za Arusha ni kahamaMwanza labda ishindane na tabora ndio ishinde
Kahama sinishamba tu kuna mji wap pale?Punguza makasiriko kuwa mkweli Mwanza ni ya pili ,,level za Arusha ni kahama
Watalii wanajua Arusha panaishi wanyama wengi ndo maana wanakuja ..Kahama sinishamba tu kuna mji wap pale?
Eti hospitali, shule na Barabara ushafeli tayari. Umeshindwa kabla hatujaleta picha.Mi mtu wa Dodoma tangu lini?tunataka mprove mwanza ni better sio kwa kura tuonyesheni barabara mitaa hospital shule nk sio porojo na ujinga
Sasa mwanza mna barabara?Eti hospitali, shule na Barabara ushafeli tayari. Umeshindwa kabla hatujaleta picha.
Hamna Tuna nziraSasa mwanza mna barabara?
Wachichanganye na picha zao waone tutakavyo wapiga za USO.Hamna Tuna nzira
Stand? 🤣 🤣 Ata ya msamvu ipo hivo. Hiyo sio issue.Unapozungumzia picha ..make sure library yako imejaa sio urudie rudie vipicha...
1MIUNDOMBINU
Tunaanza na stendi za mabus [emoji116]
Nyegezi bus terminal (Kwa ajili ya Mikoa ya kusini na magharibi ya jiji)
View attachment 2465691View attachment 2465692View attachment 2465693View attachment 2465694
Unadhani watu wana muda na picha? Watu washazoea maghorofa ni huko mwanza tu ndio bado mna Wenge hamjazoea kutwa mipicha.hayo magorofa ya tanga na arusha mbona hatuyaoni mmekalia domo tu, serikali kuleta hiyo takwimu uchwara ya magorofa werevu tulishaelewa nia yao.
Waskuma mna shida sana. Nyie kaeni kwa kutulia tu. Nyie sio watu wa mjini na hamuwezi kuitwa watu wa mjini kamwe. Ukishatamka unatoka mwanza tu, unatolewa vyeo vyote. Unaonekana mlugaluga, mshamba. Wakufunzwa.Wachichanganye na picha zao waone tutakavyo wapiga za USO.
We endelea kujiongelesha tuWaskuma mna shida sana. Nyie kaeni kwa kutulia tu. Nyie sio watu wa mjini na hamuwezi kuitwa watu wa mjini kamwe. Ukishatamka unatoka mwanza tu, unatolewa vyeo vyote. Unaonekana mlugaluga, mshamba. Wakufunzwa.
Ya pili kwa kipi? Population sawa. Vingine vyote arusha wanawazidi. Acheni kukaza mafuvu. Hakuna mtu wa maana duniani anamuda na mwanza.Punguza makasiriko kuwa mkweli Mwanza ni ya pili ,,level za Arusha ni kahama
Mshamba nn wazungu wanakuja kuangalia wanyama ndo maana wanajua Tanzania Kuna wanyama na wamasai kwa hotels gani za kuwapa ushamba ,nn cha ajabu?Ya pili kwa kipi? Population sawa. Vingine vyote arusha wanawazidi. Acheni kukaza mafuvu. Hakuna mtu wa maana duniani anamuda na mwanza.
Unadhihirisha ushamba wako. The best hotels zipo huko. Jaribu basi ata kutumia google vizuri au nao mtihani maana ukishakuwa mtu wa mwanza mpaka vyoo vya kukalia mnafundishwa kutumia karne ya 21. I rest my case. Fata juu huko kuna data nimeweka kwenye posts zangu. Majini ni Dar na Arusha. Mengine tujipe moyo tu.Mshamba nn wazungu wanakuja kuangalia wanyama ndo maana wanajua Tanzania Kuna wanyama na wamasai kwa hotels gani za kuwapa ushamba ,nn cha ajabu?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]unafurahisha aiseeUnadhihirisha ushamba wako. The best hotels zipo huko. Jaribu basi ata kutumia google vizuri au nao mtihani maana ukishakuwa mtu wa mwanza mpaka vyoo vya kukalia mnafundishwa kutumia karne ya 21. I rest my case. Fata juu huko kuna data nimeweka kwenye posts zangu. Majini ni Dar na Arusha. Mengine tujipe moyo tu.