tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Pakifungwa we inakuhusu nn?leta picha zenu Acha mdomoHujui ishafungwa au ..aliyekupa hizo picha Hana akili....ngurudoto ishajifia kitambo ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pakifungwa we inakuhusu nn?leta picha zenu Acha mdomoHujui ishafungwa au ..aliyekupa hizo picha Hana akili....ngurudoto ishajifia kitambo ..
Sasa iyo ni barabara?Watu wa mwanza ni hamna hata aibu kumbeUshaanza kujitetea si umeomba barabara kama hiyo ya tengeru ..tumekupa sasa unataka nini ..
Mbona vitu vya kawaida sana! Tatizo nyinyi watu wa arusha mnahisi hela unajua kutafuta nyinyi tu! Na kwa taarifa zenu akiingia mtaani Mwanza inanyumba Kali zaidi ya Arusha! Kila kwa upande wenu ya kujiona wajuaji mtakataa!Maeneo ya kulabata View attachment 2467452View attachment 2467454
Onyesha zenu Acha mdomo mwingiMbona vitu vya kawaida sana! Tatizo nyinyi watu wa arusha mnahisi hela unajua kutafuta nyinyi tu! Na kwa taarifa zenu akiingia mtaani Mwanza inanyumba Kali zaidi ya Arusha! Kila kwa upande wenu ya kujiona wajuaji mtakataa!
Sasa hapa mnakula Bata Gani au swimming pool hyo ..Maeneo ya kulabata View attachment 2467452View attachment 2467454
Makasiriko ya nini ..[emoji116]Pakifungwa we inakuhusu nn?leta picha zenu Acha mdomo
Nawavutia waya Soon ngoja nikamilishe majukumu yangu ya msingi nitue miguu hapa niwanyooshe
Nakubali kaka mkubwaNawavutia waya Soon ngoja nikamilishe majukumu yangu ya msingi nitue miguu hapa niwanyooshe
Nacheka kifala😂😂😂😂 hukute kaweka picha ya babu yake.We nawe na umri wako unakuja kubishana na vijana huoni aibu
Nilishamuuliza jinsia yake kitambo sana.Unaongea sana....bila shaka wew ni mwanamke
Sasa imebaki kuwa hostel za chuo cha utaliiHujui ishafungwa au ..aliyekupa hizo picha Hana akili....ngurudoto ishajifia kitambo ..
Arusha kuna nini cha ajabuAcha kujifariji Mwanza hakuna kitu cha maana
Wale wa zizini wameishiwa content [emoji12]Leo kumepoa humu
Ngoja tuwasubiri watuchokozeWale wa zizini wameishiwa content [emoji12]
Hapo ni pazuri mno ukilinganisha na hizi Banda [emoji116][emoji116]Kati kati ya jiji la MwanzaView attachment 2468230View attachment 2468230