Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Maeneo ya kulabata
22030u000000jegkv3078_R_960_660_R5_D.jpg
0226f12000a3v2pjaCAED_R_960_660_R5_D.jpg
 
Mbona vitu vya kawaida sana! Tatizo nyinyi watu wa arusha mnahisi hela unajua kutafuta nyinyi tu! Na kwa taarifa zenu akiingia mtaani Mwanza inanyumba Kali zaidi ya Arusha! Kila kwa upande wenu ya kujiona wajuaji mtakataa!
Onyesha zenu Acha mdomo mwingi
 
Acha kujifariji Mwanza hakuna kitu cha maana
Arusha kuna nini cha ajabu
Kwa mtu mwenye akili timamu kwa kuangalia tu picha zilizopostiwa kwenye huu uzi tayari atajua mji upi ni super na upi ni takataka.
Seriously Arusha ni ushuzi[emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom