Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Excuses as usual
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Excuses as usual
Hiiii pocha ni moto sana kwa arusha[emoji16][emoji16]Xprore mwanza [emoji116][emoji16][emoji91]View attachment 2513086
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28]..leta picha za nyasaka kakHiiii pocha ni moto sana kwa arusha[emoji16][emoji16]
Watoto wadogo watakimbia uzi.... nyasaka taifa kubwa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji28][emoji28][emoji28]..leta picha za nyasaka kak
Tupia kule kwenye,,, group,,waweza join [emoji28][emoji16][emoji16]Watoto wadogo watakimbia uzi.... nyasaka taifa kubwa
Nitatupia usiwaze..Tupia kule kwenye,,, group,,waweza join [emoji28][emoji16][emoji16]
Ulienda wapi?Watoto wadogo watakimbia uzi.... nyasaka taifa kubwa
Mwanza ni sawa na Mkoa tuu Kwa Kila kitu mbele ya Arusha..vijana wa arusha hawajui chochote kuhusu mwanza kwa matycoons[emoji1]
Wanazani mwanza ni igogo tu
Nipo bossUlienda wapi?
Sasa mbona zimetoka na report za laini hujaziweka, umeona za visimbuzi tuPoleni Wana Mwanza,mtajambiwa sana na Arusha View attachment 2516040View attachment 2516041
Hivi hapa mwanza inapambanishwa na mikoa mingapi?Kona za Kawetere Mbeya barabara ya kuelekea Chunya zinakufikisha kwenye sehemu ya barabara iliyo kina kirefu kutoka usawa wa bahari katika Afrika, ukifika sehemu hii ambayo inapendeza sana ndipo bonde la ufa linaonekana vizuri sana hasa sehemu za Usangu.
Hazina TijaSasa mbona zimetoka na report za laini hujaziweka, umeona za visimbuzi tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo Mwanza kunanuka sana, pia Washamba wengi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio Mara moja nimeona wamama wa Mwanza wakinya ziwani