Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Mwanza ni pazuri ila hapajachangamka saana,hakuna mishemishe,kwa utafutaji kama kijana kwa mwanza pamepoa,kule labda ukitafuta hela ukastaafie mwanza maana pametulia
Wapi palipochangamka, watu tunatafuta maisha hapa watu wametoka mikoani na kuja mwanza kutafuta ridhiki we unaleta udwanzi, pita kushoto mkajazane huko dar.
 
Nimesha post unaita vichaka Sasa tunakusaidiaje? Tourist Huwa haiwezi jangwa na mawe
Umelowa[emoji1][emoji1] MWANZA ni jitu kubwa sana lenye wakazi wasio na kelele za kishamba

hauwezi mkuta mtu wa MWANZA anazarau mikoa mingine

Ila nyie kila siku kuishindanisha MWANZA na mikoa yenu ya kipuuzi

Njooo MWANZA ukutane na matajiri wa kisukuma wasiopenda kujionesha wametulia tu

Kijana wa miaka 21 kijijini kwao anang'ombe zaidi 100 mjini anakula maisha na hana maneno mengi[emoji1]

Vijana wanamitumbwi wanapiga hela za samaki na bado wametulia tu[emoji1]

Vijana wanamashimo huko migodini na bado wametulia hawana kelele[emoji1]

MWANZA fulsa ni nyingi sana watu tunapiga pesa kimya kimya

Ukiwa MWANZA hakuna bus za kwenda ruvuma na zanzibar[emoji1][emoji1] mikoa yote iliyobakia basi utazikuta nyegezi au nyamhongolo na zote zinaanzia MWANZA sijui unanielewa wewe bwiga


Bila kusahau mabus ya nairobi,bujumbura,kampala,lubumbashi na kigali[emoji3] sijui unanipata najaribu kukupa picha japo kwa uchache ukisikia MWANZA city ue na ABC

Bado tuna meli ya mizigo mv jumuiya inatembea nchi tatu Tanzania,kenya na uganda


Ukisikia mtu anakwambia watu wa Mwanza ni washamba basi huyo kihoro kinamsumbua MWANZA tuna mall kubwa ya kisasa Tanzania nzima[emoji3]

Tuna madaraja makubwa ya watembea kwa miguu kama furahisha na mabatini[emoji3]

Tuna tuna mabarabara mengi mazuri hadi njia nne hadi sita... njia sita zinaanzia furahisha hadi ghana[emoji3]... njia sita zinaanzia town hadi airport

Njia tatu zinaanzia nata hadi kijereshi.. voil hadi bohari

Tuna fukwe nzuri na kubwa tena bure kabisa[emoji3]

Tunastand kubwa mbili za kisasa kabisa[emoji3]

Tunamaghorofa mengi sana [emoji3]

Tunahispatili kubwa yenye gorofa 11[emoji3]

Kwenye bata ndio usiseme[emoji3]

Bado kunambuzi itasema MWANZA kuna washamba ni kipi MWANAMWANZA ataenda kushangaa mikoa mingine ambacho kwao hakipo[emoji3][emoji3]


mtu wa arusha akija mwanza atashangaa fukwe kubwa,meli kubw kubwa, atashangaa milima mchana na usiku atashangaa tena kuona milima inawaka mataaa[emoji16] kama valley light italy[emoji95]... atashangaa madaraja makubwa na mazuri

Mwisho kabisa atangaa SANGARA na SATO freeeeeesh [emoji95][emoji95] ashibe akasimulie kwao [emoji16]


Narudi tena kwa picha... leo nipo kukutoa ujinga[emoji378]
 
Umelowa[emoji1][emoji1] MWANZA ni jitu kubwa sana lenye wakazi wasio na kelele za kishamba

hauwezi mkuta mtu wa MWANZA anazarau mikoa mingine

Ila nyie kila siku kuishindanisha MWANZA na mikoa yenu ya kipuuzi

Njooo MWANZA ukutane na matajiri wa kisukuma wasiopenda kujionesha wametulia tu

Kijana wa miaka 21 kijijini kwao anang'ombe zaidi 100 mjini anakula maisha na hana maneno mengi[emoji1]

Vijana wanamitumbwi wanapiga hela za samaki na bado wametulia tu[emoji1]

Vijana wanamashimo huko migodini na bado wametulia hawana kelele[emoji1]

MWANZA fulsa ni nyingi sana watu tunapiga pesa kimya kimya

Ukiwa MWANZA hakuna bus za kwenda ruvuma na zanzibar[emoji1][emoji1] mikoa yote iliyobakia basi utazikuta nyegezi au nyamhongolo na zote zinaanzia MWANZA sijui unanielewa wewe bwiga


Bila kusahau mabus ya nairobi,bujumbura,kampala,lubumbashi na kigali[emoji3] sijui unanipata najaribu kukupa picha japo kwa uchache ukisikia MWANZA city ue na ABC

Bado tuna meli ya mizigo mv jumuiya inatembea nchi tatu Tanzania,kenya na uganda


Ukisikia mtu anakwambia watu wa Mwanza ni washamba basi huyo kihoro kinamsumbua MWANZA tuna mall kubwa ya kisasa Tanzania nzima[emoji3]

Tuna madaraja makubwa ya watembea kwa miguu kama furahisha na mabatini[emoji3]

Tuna tuna mabarabara mengi mazuri hadi njia nne hadi sita... njia sita zinaanzia furahisha hadi ghana[emoji3]... njia sita zinaanzia town hadi airport

Njia tatu zinaanzia nata hadi kijereshi.. voil hadi bohari

Tuna fukwe nzuri na kubwa tena bure kabisa[emoji3]

Tunastand kubwa mbili za kisasa kabisa[emoji3]

Tunamaghorofa mengi sana [emoji3]

Tunahispatili kubwa yenye gorofa 11[emoji3]

Kwenye bata ndio usiseme[emoji3]

Bado kunambuzi itasema MWANZA kuna washamba ni kipi MWANAMWANZA ataenda kushangaa mikoa mingine ambacho kwao hakipo[emoji3][emoji3]


mtu wa arusha akija mwanza atashangaa fukwe kubwa,meli kubw kubwa, atashangaa milima mchana na usiku atashangaa tena kuona milima inawaka mataaa[emoji16] kama valley light italy[emoji95]... atashangaa madaraja makubwa na mazuri

Mwisho kabisa atangaa SANGARA na SATO freeeeeesh [emoji95][emoji95] ashibe akasimulie kwao [emoji16]


Narudi tena kwa picha... leo nipo kukutoa ujinga[emoji378]
Ruvuma ipo super feo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umelowa[emoji1][emoji1] MWANZA ni jitu kubwa sana lenye wakazi wasio na kelele za kishamba

hauwezi mkuta mtu wa MWANZA anazarau mikoa mingine

Ila nyie kila siku kuishindanisha MWANZA na mikoa yenu ya kipuuzi

Njooo MWANZA ukutane na matajiri wa kisukuma wasiopenda kujionesha wametulia tu

Kijana wa miaka 21 kijijini kwao anang'ombe zaidi 100 mjini anakula maisha na hana maneno mengi[emoji1]

Vijana wanamitumbwi wanapiga hela za samaki na bado wametulia tu[emoji1]

Vijana wanamashimo huko migodini na bado wametulia hawana kelele[emoji1]

MWANZA fulsa ni nyingi sana watu tunapiga pesa kimya kimya

Ukiwa MWANZA hakuna bus za kwenda ruvuma na zanzibar[emoji1][emoji1] mikoa yote iliyobakia basi utazikuta nyegezi au nyamhongolo na zote zinaanzia MWANZA sijui unanielewa wewe bwiga


Bila kusahau mabus ya nairobi,bujumbura,kampala,lubumbashi na kigali[emoji3] sijui unanipata najaribu kukupa picha japo kwa uchache ukisikia MWANZA city ue na ABC

Bado tuna meli ya mizigo mv jumuiya inatembea nchi tatu Tanzania,kenya na uganda


Ukisikia mtu anakwambia watu wa Mwanza ni washamba basi huyo kihoro kinamsumbua MWANZA tuna mall kubwa ya kisasa Tanzania nzima[emoji3]

Tuna madaraja makubwa ya watembea kwa miguu kama furahisha na mabatini[emoji3]

Tuna tuna mabarabara mengi mazuri hadi njia nne hadi sita... njia sita zinaanzia furahisha hadi ghana[emoji3]... njia sita zinaanzia town hadi airport

Njia tatu zinaanzia nata hadi kijereshi.. voil hadi bohari

Tuna fukwe nzuri na kubwa tena bure kabisa[emoji3]

Tunastand kubwa mbili za kisasa kabisa[emoji3]

Tunamaghorofa mengi sana [emoji3]

Tunahispatili kubwa yenye gorofa 11[emoji3]

Kwenye bata ndio usiseme[emoji3]

Bado kunambuzi itasema MWANZA kuna washamba ni kipi MWANAMWANZA ataenda kushangaa mikoa mingine ambacho kwao hakipo[emoji3][emoji3]


mtu wa arusha akija mwanza atashangaa fukwe kubwa,meli kubw kubwa, atashangaa milima mchana na usiku atashangaa tena kuona milima inawaka mataaa[emoji16] kama valley light italy[emoji95]... atashangaa madaraja makubwa na mazuri

Mwisho kabisa atangaa SANGARA na SATO freeeeeesh [emoji95][emoji95] ashibe akasimulie kwao [emoji16]


Narudi tena kwa picha... leo nipo kukutoa ujinga[emoji378]
Insha ndefu tunataka picha kijana maneno meengi yann

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Wadau wa Mwanza kiukweli naumia sana tunapolinganishwa na miji ya ajabu mara arusha, dodoma, mbeya na sasa tunalinganishwa na bunda, hii kitu sio njema kabisa ata kama mnachuki na Mwanza si kihivyo, mkubwa apewe heshima yake.
Mwanza tunamheshimu Dar japo tunafukuza mwizi kimya kimya lkn tunakubali wametuzidi.

Ligi ya Mwanza inapaswa hiwe na kigali, Mombasa na kampala basi.
 
Wadau wa Mwanza kiukweli naumia sana tunapolinganishwa na miji ya ajabu mara arusha, dodoma, mbeya na sasa tunalinganishwa na bunda, hii kitu sio njema kabisa ata kama mnachuki na Mwanza si kihivyo, mkubwa apewe heshima yake.
Mwanza tunamheshimu Dar japo tunafukuza mwizi kimya kimya lkn tunakubali wametuzidi.

Ligi ya Mwanza inapaswa hiwe na kigali, Mombasa na kampala basi.
[emoji23]unafurahisha mkuu, ujue kuna watu wanasema et mwanza kuna washamba, haya muulize yeye anatokea mkoa gani na nini cha maana ambacho mtu wa mwanza anaweza kwenda huko kukishangaa
 
Umelowa[emoji1][emoji1] MWANZA ni jitu kubwa sana lenye wakazi wasio na kelele za kishamba

hauwezi mkuta mtu wa MWANZA anazarau mikoa mingine

Ila nyie kila siku kuishindanisha MWANZA na mikoa yenu ya kipuuzi

Njooo MWANZA ukutane na matajiri wa kisukuma wasiopenda kujionesha wametulia tu

Kijana wa miaka 21 kijijini kwao anang'ombe zaidi 100 mjini anakula maisha na hana maneno mengi[emoji1]

Vijana wanamitumbwi wanapiga hela za samaki na bado wametulia tu[emoji1]

Vijana wanamashimo huko migodini na bado wametulia hawana kelele[emoji1]

MWANZA fulsa ni nyingi sana watu tunapiga pesa kimya kimya

Ukiwa MWANZA hakuna bus za kwenda ruvuma na zanzibar[emoji1][emoji1] mikoa yote iliyobakia basi utazikuta nyegezi au nyamhongolo na zote zinaanzia MWANZA sijui unanielewa wewe bwiga


Bila kusahau mabus ya nairobi,bujumbura,kampala,lubumbashi na kigali[emoji3] sijui unanipata najaribu kukupa picha japo kwa uchache ukisikia MWANZA city ue na ABC

Bado tuna meli ya mizigo mv jumuiya inatembea nchi tatu Tanzania,kenya na uganda


Ukisikia mtu anakwambia watu wa Mwanza ni washamba basi huyo kihoro kinamsumbua MWANZA tuna mall kubwa ya kisasa Tanzania nzima[emoji3]

Tuna madaraja makubwa ya watembea kwa miguu kama furahisha na mabatini[emoji3]

Tuna tuna mabarabara mengi mazuri hadi njia nne hadi sita... njia sita zinaanzia furahisha hadi ghana[emoji3]... njia sita zinaanzia town hadi airport

Njia tatu zinaanzia nata hadi kijereshi.. voil hadi bohari

Tuna fukwe nzuri na kubwa tena bure kabisa[emoji3]

Tunastand kubwa mbili za kisasa kabisa[emoji3]

Tunamaghorofa mengi sana [emoji3]

Tunahispatili kubwa yenye gorofa 11[emoji3]

Kwenye bata ndio usiseme[emoji3]

Bado kunambuzi itasema MWANZA kuna washamba ni kipi MWANAMWANZA ataenda kushangaa mikoa mingine ambacho kwao hakipo[emoji3][emoji3]


mtu wa arusha akija mwanza atashangaa fukwe kubwa,meli kubw kubwa, atashangaa milima mchana na usiku atashangaa tena kuona milima inawaka mataaa[emoji16] kama valley light italy[emoji95]... atashangaa madaraja makubwa na mazuri

Mwisho kabisa atangaa SANGARA na SATO freeeeeesh [emoji95][emoji95] ashibe akasimulie kwao [emoji16]


Narudi tena kwa picha... leo nipo kukutoa ujinga[emoji378]
Mabasi Ya Ruvuma Yapo Super Feo Mwanza Songea Kwa Sasa

Mtwara Tu Ndio Hamna
 
Wadau wa Mwanza kiukweli naumia sana tunapolinganishwa na miji ya ajabu mara arusha, dodoma, mbeya na sasa tunalinganishwa na bunda, hii kitu sio njema kabisa ata kama mnachuki na Mwanza si kihivyo, mkubwa apewe heshima yake.
Mwanza tunamheshimu Dar japo tunafukuza mwizi kimya kimya lkn tunakubali wametuzidi.

Ligi ya Mwanza inapaswa hiwe na kigali, Mombasa na kampala basi.
Chuga
20220902_093737.jpg
SAM_2813.jpg
cc89cec764678ae0c3b5ba1cc82fd5bd.jpg


Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom