Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,130
- 6,097
Google via duct ujue ni mnyama gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Google via duct ujue ni mnyama gani
Mwanza Airport cargo terminal
Tuma picha basi, tunajua unazo watu wa mwanza tena na picha😀😀😀Usitusemee watu wa mwanza.
Sisi kwetu daraja ndo lina impact then barabara ndo zinafata.
Arusha inatumia KIAMwanza Airport cargo terminal![]()
Control tower
View attachment 2526777
![]()
Terminal 1 under construction
![]()
Hatuingiii ziwani, huko tutawapasua vipande vipande
Arusha tunnatumia kiaaaa, 😀 😀 😀Arusha inatumia KIA
abf you KIA is superior to your Airport by far
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kwaio KIA ni ya arusha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hio arusha airport ni ya wapiArusha inatumia KIA
abf you KIA is superior to your Airport by far
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]... alikujibu nitaggArusha tunnatumia kiaaaa, 😀 😀 😀
Kwenye miundo mbinu tunaita Mmeyakanyagaaaa, mpaka mmepakana nyumbani kwenu????
View attachment 2526791View attachment 2526792![]()
Iyo ni airstrip tu, KIA ilijengwa kuhudumia Kilimanjaro na Arusha, hapo kama mnataka ushindi wa kuforce poaArusha tunnatumia kiaaaa, 😀 😀 😀
Kwenye miundo mbinu tunaita Mmeyakanyagaaaa, mpaka mmepakana nyumbani kwenu????
View attachment 2526791View attachment 2526792![]()
Mwanza wanajenga dual carriage ya 54km from Mwanza city to mwanangwa.Unajidanganya, itajengwa dualcarriage way from Tengeru all the way hadi Holili...ni dualcarriage way ndefu itakayounganisha Arusha na Kilimanjaro hadi mpakani Rombo...
Bila kusahau barabara za miji, kuna barabara ya kuunganisha wilaya ya siha na rombo nayo inakuja...
Kwa kifupi serikali hua haikosei kujenga sshemu ambazo wanaokota kodi hua wanajua wanachofanya
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ukileta picha swafi kama hii kutoka hapo arusha Niko pale [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ChoiceVariable shirikiana na mwenzioArusha inatumia KIA
abf you KIA is superior to your Airport by far
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Arusha Airstrip ijulikane hivyo basi, 😄 😄 😄Iyo ni airstrip tu, KIA ilijengwa kuhudumia Kilimanjaro na Arusha, hapo kama mnataka ushindi wa kuforce poa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hujaelewa Bado. Huyu ili aelewe pigeni viboko kichwa ichangamke.Sasa kwenye rasilimali chache za fedha kwann upeleke pesa nyingi kwenye kitu ambacho tija yake ni ndogo?au kwakua ndio kwa mkeo
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Yako wapi hayo mamiradi😝😝😝😝Hakuna mahali kama A Town shamba city munapaniki nini na hapo bado hatujatuma mapicha za mamiradi za mabilion yanayoendelea.
Unaijua nyanzaga wewe kiboga?. Geita na GGM unazijua kweli??. Utasemaje daraja haliko strategic. Utakuwa mpumbavu mmoja shoga tu.
Proof?Mwanza wanajenga dual carriage ya 54km from Mwanza city to mwanangwa.
Muulize flyover za ubungo na tazara Zina impact Gani kiuchumi hatakujui kwa mkitadha wa majibu na uelewa wake. Ndo ujue tunabishana na mbu mbuKatika siku ambayo hujatumia akili ,,ni Leo ...
Hawa watu na magari ,,yakiwa yanakaa masaa 2 kwenye foleni kusubiri feli ...ni hasara kubwa mno kiuchumi...
Sa hvi Kuna online tuition za uchumi .. google ujifunzeView attachment 2526660
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti nin kuhudumia na arusha.So airport ya hadhi ya arusha hamnaIyo ni airstrip tu, KIA ilijengwa kuhudumia Kilimanjaro na Arusha, hapo kama mnataka ushindi wa kuforce poa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Think bigger, usiforce akili yako ukuaminishe ujingaWanajengewa location za kupigia picha washamba hao si unajua tena aina ya watu wa kule washamba 😀