Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

I mean UEA. Ata kwa city dubai haisogelei tokyo though ni sehem inaaccomodate watu wakubwa dunia.

Huyo ndugu yako anadhan hao watu wakubwa wanaenda arusha kupaona njiro , unga LIMITED au ni wameinvest hapo wanakuja kuangalia biashara zao. Wapo hapo sabab serikali imeifany kuwa centre ya utalii.Inabid mshukur sana serikali na sera zake kweny sekta ya utalii sio kilimo, madini hamuisogelei mwanza kidogo ufugaji.

Nyie ni kama DODOMA kaka bila serikali hamtoboi.
Serikali inawekeza sehemu yenye matokeo chanya..
Anyway Tokyo ni Mega city hilo halina ubishi...lakini Dubai nayo iko kwenye Category ya International city...World class city kama klovyo Tokyo na majiji mengine Makubwa...Uwekezaji uliowekwa pale usiuchukulie Poa

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Serikali inawekeza sehemu yenye matokeo chanya..
Anyway Tokyo ni Mega city hilo halina ubishi...lakini Dubai nayo iko kwenye Category ya International city...World class city kama klovyo Tokyo na majiji mengine Makubwa...Uwekezaji uliowekwa pale usiuchukulie Poa

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Sas mwambie huyo mwenzio. Arusha itatembelewa na kila mtu ila uchumi upo mwanza
Screenshot_20230228-084838_Chrome.jpg
 
Sasa mlivyokua mnabisha mlikua mnabishia nn?

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Hamn aliebisha marais hawakuja arusha. Question was upo uthibitisho hao marais walilala arusha ? If not what so special sabab hata chato kiongoz wa china alienda.

Mje na kitu reasonable na sio viongozi kuja arusha yet sehem nyingine pia wamefika.
 
Hamn aliebisha marais hawakuja arusha. Question was upo uthibitisho hao marais walilala arusha ? If not what so special sabab hata chato kiongoz wa china alienda.

Mje na kitu reasonable na sio viongozi kuja arusha yet sehem nyingine pia wamefika.
Wang Yi alienda chato , kenyata kalala chato, mseven,rais wa Ethiopia n.k
Na bado watu wa chato hawaongei .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alafu hii tabia ya mwanza kuongea kilugha kwenye daladala mnatuaibisha bhana jiji au kijiji hicho
Makabila yapo na lazima yaendelee kuwepo na ndo chimbuko la taifa hili.

Muhim kusiwepo ukabila ila tamaduni za kikabila ni lazma ziwepo. Kuongea kilugha ata ikulu sio kosa au unakifungu cha sheria kinazuia lugha za kikabila kweny dalala.

Kuongea kiswahil unaona ndo ujanja ila kuongea lugha chimbuko la kiswahili unaona ni ujinga [emoji3]
 
Makabila yapo na lazima yaendelee kuwepo na ndo chimbuko la taifa hili.

Muhim kusiwepo ukabila ila tamaduni za kikabila ni lazma ziwepo. Kuongea kilugha ata ikulu sio kosa au unakifungu cha sheria kinazuia lugha za kikabila kweny dalala.

Kuongea kiswahil unaona ndo ujanja ila kuongea lugha chimbuko la kiswahili unaona ni ujinga [emoji3]
Wabheja sana
 
Makabila yapo na lazima yaendelee kuwepo na ndo chimbuko la taifa hili.

Muhim kusiwepo ukabila ila tamaduni za kikabila ni lazma ziwepo. Kuongea kilugha ata ikulu sio kosa au unakifungu cha sheria kinazuia lugha za kikabila kweny dalala.

Kuongea kiswahil unaona ndo ujanja ila kuongea lugha chimbuko la kiswahili unaona ni ujinga [emoji3]
Kisukuma kimekua lini chimbuko la kiswahili mbona unatupanga mkuu[emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom