Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Hahaa wazee wa mabugando. Kwendraa mshamba.
Na wewe umeanza kuniita mm mshamba [emoji1787][emoji1787] mziki wangu utauweza lakini
Haueleweki upo kama mnyoo mara picha za kishamba ukizidiwa unatuma picha zisizo na mbele wala miguu
Hapo umetoka kutuma picha za hotel nimekujibu umepotea chap kama bao la kwanza

Unaishi arusha sehemu gani kwanza?
 
Wala, zipo kibao nakosa tu muda, wewe Arusha ilikuwa ndio manispaa yenye maendeleo kuliko zote until 1994, braza Mwanza ni mtoto mdogo sana. Kimsingi Mwanza ni mtoto ata kwa Tanga. Mtu wa Tanga mjini ana ustaarab wa mjini kama alivyo wa Arusha au Dar ila sio mwanza. mwanza ni washamba mmeanza kuona maghorofa juzi juzi ndio maana mna wenge, alafu bado sana pia, pamoja na population kuwa kubwa, mmezidiwa idadi ya majengo ya ghorofa na huduma za kisasa mkubali mkatae. mtajijua wenyewe.
Ikawaje sas jiji la pili likawa mwanza #Mliwehuka uko mkasahu kujituma ama [emoji41]
 
Wala, population growth ikawa ndogo, na siasa zikahappen. Ila kwa idadi ya watu pale town na huduma, so far hakuna wilaya inaizidi. Kinondoni ni vile watu ni wengi na eneo ni kuubwa sana, ila ndio zinafuatana.
Zinafuata kweny nin. Tueleweshe ban bro sis wanaarusha tunatak kufaham
 
Chuga
20230303_174214.jpg
 
Wala, zipo kibao nakosa tu muda, wewe Arusha ilikuwa ndio manispaa yenye maendeleo kuliko zote until 1994, braza Mwanza ni mtoto mdogo sana. Kimsingi Mwanza ni mtoto ata kwa Tanga. Mtu wa Tanga mjini ana ustaarab wa mjini kama alivyo wa Arusha au Dar ila sio mwanza. mwanza ni washamba mmeanza kuona maghorofa juzi juzi ndio maana mna wenge, alafu bado sana pia, pamoja na population kuwa kubwa, mmezidiwa idadi ya majengo ya ghorofa na huduma za kisasa mkubali mkatae. mtajijua wenyewe.
Huwa unanifurahisha sana,ukizidiwa tu unashusha waraka wa maneno matupu.Vipi wale ndugu zako waliokimbia Jiji la Mwanza wanaendeleaje huko Chuga? Walishalipwa zile pesa za Mzee wao alikuwa anaidai Bugando [emoji2][emoji2]
 
Anzisha, yani mi mshamba wa mwanza anizidi? Nyokoo jaribu
 
Wala, zipo kibao nakosa tu muda, wewe Arusha ilikuwa ndio manispaa yenye maendeleo kuliko zote until 1994, braza Mwanza ni mtoto mdogo sana. Kimsingi Mwanza ni mtoto ata kwa Tanga. Mtu wa Tanga mjini ana ustaarab wa mjini kama alivyo wa Arusha au Dar ila sio mwanza. mwanza ni washamba mmeanza kuona maghorofa juzi juzi ndio maana mna wenge, alafu bado sana pia, pamoja na population kuwa kubwa, mmezidiwa idadi ya majengo ya ghorofa na huduma za kisasa mkubali mkatae. mtajijua wenyewe.
Huu nao ni mkate wa chai ya kesho asubuhi.
 
Yani huna ata aibu, Bugando? mji wenyewe umekuwa established 1963, ushuzi mtupu. Wenzenu incorporated 1948 as a town, siyo mkoa.
Mbona mpo dormant sasa. Hujiulizi kwa Nini. Dodoma inaenda kuwashikisha adabu yenu
 
Mbona mpo dormant sasa. Hujiulizi kwa Nini. Dodoma inaenda kuwashikisha adabu yenu
Dormant ipi? Dodoma wapo walikiwa mbele yenu na wapo mbele yenu shamba city. Mwanza tunapenda samaki wenu tu.
 
Back
Top Bottom