Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Battle: Mwanza (The Rock City) Vs Arusha (A-Town/Chuga)

Nilisema staki attacks na Matusi lete data zako. Hasira za mkiz peleka hukoo, kichwa yako ipo kama dagaa umejaa mchanga
Nyie ndo mnaanzaga, tunawachekigi, ila tukianza vita ya matusi mtajua hamjui. Sema kwakuwa tumewazidi huwa tunawadharau tu.
 
Naomba tumalize hilibsuala la Nani ni wa Kwanza na nani wa pili tuhamie katika kushindanisha kipi kipo Mwanza Hakipo Arusha na Kipi kipo Arusha hakipo Mwanza kipi bora kipo Arusha na kipi bora kipo Mwanza. Atakae pinga hizi data zangu aje na za Kwake n.b sitaki Matusi wa attacks View attachment 2539276View attachment 2539277View attachment 2539278View attachment 2539279View attachment 2539282View attachment 2539283View attachment 2539284View attachment 2539285
Yeah, and in terms of development the list be like
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Zanzibar town
4. Arusha
5. Dodoma
6. Tanga
7. Mbeya
8. Iringa
9. Moshi
10. Morogoro
Haya sasa turudi kwenye kipi kipo Mwanza halafu Arusha hakipo na kipi kipo Arusha halafu Mwanza hakipo
Hiki kitu kipo Mwanza ila Arusha mtakipata karne ijayo[emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20230228-151046~2.jpg
 
Nyie ndo mnaanzaga, tunawachekigi, ila tukianza vita ya matusi mtajua hamjui. Sema kwakuwa tumewazidi huwa tunawadharau tu.
Nishawahi kukutukana anyway lete data zako kudhibitisha kwamba Arusha ni 2nd largest city au 2nd most Urbanised City. Kingine dharau zako haziniletei pesa, ni juu yako kunidharau au kuniheshimu.
 
Yeah, and in terms of development the list be like
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Zanzibar town
4. Arusha
5. Dodoma
6. Tanga
7. Mbeya
8. Iringa
9. Moshi
10. Morogoro
Haya sasa turudi kwenye kipi kipo Mwanza halafu Arusha hakipo na kipi kipo Arusha halafu Mwanza hakipo
Hiki kitu kipo Mwanza ila Arusha mtakipata karne ijayo[emoji1787][emoji1787]View attachment 2539650
 
Yeah, and in terms of development the list be like
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Zanzibar town
4. Arusha
5. Dodoma
6. Tanga
7. Mbeya
8. Iringa
9. Moshi
10. Morogoro
Haya sasa turudi kwenye kipi kipo Mwanza halafu Arusha hakipo na kipi kipo Arusha halafu Mwanza hakipo
Hiki kitu kipo Mwanza ila Arusha mtakipata karne ijayo[emoji1787][emoji1787]View attachment 2539650
Unachokiona kwenye hii picha hapa chini Kiko Arusha tuu
20230306_205428.jpg
 
Tayari maumivu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Bado Kuna kingine hujataja
Jua kali, alama ya watembea kwa miguu barabarani, pikipiki mbovu, madereva bodaboda, taa chafu barabarani, n.k
Kiufupi nimeona hivyo, na kweli nilichokiona hapo kipo Arusha tu[emoji38][emoji38]
 
Nyie ndo mnaanzaga, tunawachekigi, ila tukianza vita ya matusi mtajua hamjui. Sema kwakuwa tumewazidi huwa tunawadharau tu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe lianzishe tu tupo mangosha wa mbasa tunapiga miguu miwili
 
Back
Top Bottom