ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Wadada WazuriVingi kama ushoga, kuvuta bangi na kuvaa manguo over size.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadada WazuriVingi kama ushoga, kuvuta bangi na kuvaa manguo over size.
Huna pesa ya kumla, unadhani ni sawa na Wasukuma WA buku buku?Kama wadada wa arusha wote wapo kama paqwa siwez kula hiyo mizigo asee.
Wadada wa arusha wana sura nzuri lkn midomo yao inanuka ugoro na cannabis pamoja na k-vant.Wadada Wazuri
Paqwa alishanifata pm eti anaomba namba zangu amezimika na mziki wa ngosha mimi.Huna pesa ya kumla, unadhani ni sawa na Wasukuma WA buku buku?
Patrobas Katambi ndugu yenu mjue.Hivyo vingine vingi [emoji116]View attachment 2539475
Utamuambukiza cacer ya kizazi BurePaqwa alishanifata pm eti anaomba namba zangu amezimika na mziki wa ngosha mimi.
Nyie ndo mnaanzaga, tunawachekigi, ila tukianza vita ya matusi mtajua hamjui. Sema kwakuwa tumewazidi huwa tunawadharau tu.Nilisema staki attacks na Matusi lete data zako. Hasira za mkiz peleka hukoo, kichwa yako ipo kama dagaa umejaa mchanga
Paqwa bi dada mrembo lakini una maneno mengi, hakika mimi ngosha nimekuelewa.Nyie ndo mnaanzaga, tunawachekigi, ila tukianza vita ya matusi mtajua hamjui. Sema kwakuwa tumewazidi huwa tunawadharau tu.
Au na wewe ulishamfollow pm then unataka kuniharibia kwa mtoto wa kimeruUtamuambukiza cacer ya kizazi Bure
Yeah, and in terms of development the list be likeNaomba tumalize hilibsuala la Nani ni wa Kwanza na nani wa pili tuhamie katika kushindanisha kipi kipo Mwanza Hakipo Arusha na Kipi kipo Arusha hakipo Mwanza kipi bora kipo Arusha na kipi bora kipo Mwanza. Atakae pinga hizi data zangu aje na za Kwake n.b sitaki Matusi wa attacks View attachment 2539276View attachment 2539277View attachment 2539278View attachment 2539279View attachment 2539282View attachment 2539283View attachment 2539284View attachment 2539285
Nishawahi kukutukana anyway lete data zako kudhibitisha kwamba Arusha ni 2nd largest city au 2nd most Urbanised City. Kingine dharau zako haziniletei pesa, ni juu yako kunidharau au kuniheshimu.Nyie ndo mnaanzaga, tunawachekigi, ila tukianza vita ya matusi mtajua hamjui. Sema kwakuwa tumewazidi huwa tunawadharau tu.
Yeah, and in terms of development the list be like
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Zanzibar town
4. Arusha
5. Dodoma
6. Tanga
7. Mbeya
8. Iringa
9. Moshi
10. Morogoro
Haya sasa turudi kwenye kipi kipo Mwanza halafu Arusha hakipo na kipi kipo Arusha halafu Mwanza hakipo
Hiki kitu kipo Mwanza ila Arusha mtakipata karne ijayo[emoji1787][emoji1787]View attachment 2539650
Unachokiona kwenye hii picha hapa chini Kiko Arusha tuuYeah, and in terms of development the list be like
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Zanzibar town
4. Arusha
5. Dodoma
6. Tanga
7. Mbeya
8. Iringa
9. Moshi
10. Morogoro
Haya sasa turudi kwenye kipi kipo Mwanza halafu Arusha hakipo na kipi kipo Arusha halafu Mwanza hakipo
Hiki kitu kipo Mwanza ila Arusha mtakipata karne ijayo[emoji1787][emoji1787]View attachment 2539650
Nini.. madereva bodaboda au[emoji38][emoji38]Unachokiona kwenye hii picha hapa chini Kiko Arusha tuuView attachment 2539747
Ukiacha hao unaona nini kingine?Nini.. madereva bodaboda au[emoji38][emoji38]
Maghorofa mawili yasiyovutia, daladala zilizochakaa, barabara iliyochoka, mawingu mabaya, homeless people pembeni mwa barabara, bango la Namanga, miti yenye mpangilio mbovu, that's all.Ukiacha hao unaona nini kingine?
Tayari maumivu 😁😁😁😁Maghorofa mawili yasiyovutia, daladala zilizochakaa, barabara iliyochoka, mawingu mabaya, homeless people pembeni mwa barabara, bango la Namanga, miti yenye mpangilio mbovu, that's all.
Jua kali, alama ya watembea kwa miguu barabarani, pikipiki mbovu, madereva bodaboda, taa chafu barabarani, n.kTayari maumivu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Bado Kuna kingine hujataja
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe lianzishe tu tupo mangosha wa mbasa tunapiga miguu miwiliNyie ndo mnaanzaga, tunawachekigi, ila tukianza vita ya matusi mtajua hamjui. Sema kwakuwa tumewazidi huwa tunawadharau tu.