Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Kama hiziHakuna jengo lililoridiwa ni design ya majengo tu yamefanana kidogo, leta tujumba.twa lagos na dar, coz hapo Arusha hakuna kitu na nyumba za makuti na mitete.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hiziHakuna jengo lililoridiwa ni design ya majengo tu yamefanana kidogo, leta tujumba.twa lagos na dar, coz hapo Arusha hakuna kitu na nyumba za makuti na mitete.
Mkuu we tatizo lako nini...hapa atuko kwenye ugomvi kakaHakuna jengo lililoridiwa ni design ya majengo tu yamefanana kidogo, leta tujumba.twa lagos na dar, coz hapo Arusha hakuna kitu na nyumba za makuti na mitete.
Sasa Kuna Jiji kubwa lolote duniani lisilo na slums?
Watu wa Arusha mbona hamposti aerial view.mnaogopa nini Kwa mfano [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mkuu we tatizo lako nini...hapa atuko kwenye ugomvi kaka
Mbona unarudia unarudia [emoji28][emoji28]Magari ya kifahari kama haya utayapata Arusha tuView attachment 2549716
Hii ni ilemela inafanana sana na minepolis.Vipi na hii imeshapostiwa ..lake front ilemela [emoji91][emoji91][emoji91].. usisahau majina ya mtaa credit: Kitombile
View attachment 2549695View attachment 2549696
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimekuletea picha za njiani[emoji3] hapa nyasaka nikiamua kuzunguka kupiga picha lazma ukimbie.Huku zipo nying sanaaa mda wa kuzunguka ndo nakosa kaka
Aah We kama hata moja moja we piga tu usiogope ...madam na mim sijamua kuingia location we pigaMimi nimekuletea picha za njiani[emoji3] hapa nyasaka nikiamua kuzunguka kupiga picha lazma ukimbie.
Angalia hii aerial view ya nyasaka niljipiga kwa kutumia simu umbali wa km 2+
Nikienda huko chini kupiga picha nyumba moja moja humu mtakimbiaView attachment 2549717View attachment 2549718
[emoji3][emoji3][emoji3] hio nyasaka 99% nyumba zake zinafence,,, kubattle na mwanza utaumia mapafuAah We kama hata moja moja we piga tu usiogope ...madam na mim sijamua kuingia location we piga
Maneno mengi ya nini wewe twende kwa vitendo[emoji3][emoji3][emoji3] hio nyasaka 99% nyumba zake zinafence,,, kubattle na mwanza utaumia mapafu
Nshapost sana, rudi kwenye post zangu.Yapo wapi hayo maghorofa?
mwanza = ushamba. Hiyo mpaka kiama, dunia inaamini hivyo, ata mfanyaje.Hakuna sentensi yako hata moja ambayo haina neno mshamba, utakuwa na inferiority complex syndrome, jiangalie na uchukue hatua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me huniwez na wala hamtaniweza, kwani hapa tunaelimishana na nini yaani jiji la Mwanza liige nini hapo Arusha, na hapa wote tupo kwaajili ya ligi kama haupo kwaajili ya battle umekuja kutafuta nini?
[emoji91][emoji91][emoji91]Maneno mengi ya nini wewe twende kwa vitendo
😂😂😂 acha kupaniki, inaonekana umeanza kunijua jana.Mkuu we tatizo lako nini...hapa atuko kwenye ugomvi kaka
Paqwa kama paqwa, ila we mdada nimeanza kukukubali😄😄😄mwanza = ushamba. Hiyo mpaka kiama, dunia inaamini hivyo, ata mfanyaje.
Sasa mchana Jiji watu wanapanga viatu barabarani kati kati ya Jiji....hiki kitu uwezi kikuta Arusha ase[emoji91][emoji91][emoji91]View attachment 2549753View attachment 2549755
Sent using Jamii Forums mobile app
Wew toka umekua na akili umesikia kuna cha mwanza, cha singida, cha dar why cha arusha [emoji3].Ni watanzania wenzetu tunajua wanabuy time tunawaenjoy
Sasa mchana Jiji watu wanapanga viatu barabarani kati kati ya Jiji....hiki kitu uwezi kikuta Arusha ase