Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
[emoji3][emoji3] wabongo na masta plani wapi wait utaona mwisho wakeMi siwezi kudanganya mkuu...sema wabunifu wakibongo Huwa wanafeli sanaView attachment 2553945View attachment 2553946
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3] wabongo na masta plani wapi wait utaona mwisho wakeMi siwezi kudanganya mkuu...sema wabunifu wakibongo Huwa wanafeli sanaView attachment 2553945View attachment 2553946
Mim na watanzania wengine
Mi siwezi kudanganya mkuu...sema wabunifu wakibongo Huwa wanafeli sanaView attachment 2553945View attachment 2553946
Unajizima data MzeeNani Kakuambia Serengeti ndio mbuga kubwa Tanzania?!
Kabisa mkuu master plan na ubunifu wetu ni zero[emoji3][emoji3] wabongo na masta plani wapi wait utaona mwisho wake
Nahitaji iyo mijengo nioneMgongo wa tembo ndio unajivunia kweli! Bado hujaona mijengo mkuu, tembea ujionee,,
Serengeti sio mbuga ya kwanza mkuu hiyo ilikuwa ni zamani ..mbuga ya kwanza kwa ukubwa inaitwa Nyerere kule bwawa lakufua umeme linapotengenezwaUnajizima data Mzee
Na kukufahamisha ni kwamba mbuga ya Nyerere ndio mbuga kubwa Africa Kwa sasaUnajizima data Mzee
Nahitaji iyo mijengo nione
Tuoneshane makaliHalafu nikikuwekea itakusaidia nini? Wakati inaeleweka After dar ni Mwanza
Weeh
Mijengo mirefu ni Sehemu ya Arusha ,Arusha ni Sehemu ya mijengo mirefu
Ina nn Sasa yaan ukiongelea mbunga kubwa yenye wanyama ni Serengeti mkuu na mbuga Ina wanyama wengi ikifuatiwa na KATAVINa kukufahamisha ni kwamba mbuga ya Nyerere ndio mbuga kubwa Africa Kwa sasa
Mijengo mirefu ni Sehemu ya Arusha ,Arusha ni Sehemu ya mijengo mirefuView attachment 2554694
Na mbuga inayotembelewa sana na watalii ni ngoro ngoro ..sasa kwaiyo kila moja inajipendelea kwa upande wakeIna nn Sasa yaan ukiongelea mbunga kubwa yenye wanyama ni Serengeti mkuu na mbuga Ina wanyama wengi ikifuatiwa na KATAVI
Sio Kimjengo ni mijengo hapo sio chini ya Floors 15Unatuwekea kimjengo ndio kwanzaa hakijakamilika [emoji16]