Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,976
- 7,726
Ushamba ni nini? Naona mnajificha kwenye neno "ushamba"Hahahaha aise hawa watu ni wakuwaonea huruma tu mkuu. Siyo kwa zigo hili la ushamba walonalo😂😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushamba ni nini? Naona mnajificha kwenye neno "ushamba"Hahahaha aise hawa watu ni wakuwaonea huruma tu mkuu. Siyo kwa zigo hili la ushamba walonalo😂😂😂😂
Sio "mutu", wewe ni mrundi utakuwa, sema "mtu"Kuna mutu binafsi apa mwanza anaeza miliki mali za hizo?
Eti, "anaeza" sema " Anaweza"Kuna mutu binafsi apa mwanza anaeza miliki mali za hizo?
Mkuu kati kati ya mji watu wanaongea kisukuma tu kama vile tuko misungwi au katoro shinyanga. Tunajua mwanza ni kwa wasukuma ila kitendo cha kuongea hadi sehemu maalumu kisukuma hii ni ajabu SanaMwanza mkoa wapi kuna kijiji ebu taja kijiji kimoja
Mkuu ushamba ni hali ya kujifanya unajua kila kitu mfano izo picha za vijumba vyenu mnavyotuma ndio zinaonesha jinsi gani nyie ni primitive yani siyo watu wa kuzunguka miji mingine kabisaUshamba ni nini? Naona mnajificha kwenye neno "ushamba"
Jibu swali acha kuleta mbambambaEti, "anaeza" sema " Anaweza"
Katoro na shinyanga ni vijiji vya Mwanza au sio.Mkuu kati kati ya mji watu wanaongea kisukuma tu kama vile tuko misungwi au katoro shinyanga. Tunajua mwanza ni kwa wasukuma ila kitendo cha kuongea hadi sehemu maalumu kisukuma hii ni ajabu Sana
Mkuu ushamba ni hali ya kujifanya unajua kila kitu mfano izo picha za vijumba vyenu mnavyotuma ndio zinaonesha jinsi gani nyie ni primitive yani siyo watu wa kuzunguka miji mingine kabisa
Arusha ni jiji pekee unakutana na kijana ananguvu zake anakuomba mia mbili halali muoleweJibu swali acha kuleta mbambamba
We olaiboni wa maeneo gani?Jibu swali acha kuleta mbambamba
Acha vibabu vya kizungu viendelee kuwapasua speaker vijana wa arusha.Arusha ni jiji pekee unakutana na kijana ananguvu zake anakuomba mia mbili halali muolewe
Arusha nusu saa majengo to sanawari. Unaanza vichaka, migomba na mito to tengeruJuzi Kati nilikuwa mwanza. Nimetumia siku mbili tu kuimaliza yote. Aka ndo ka mji mnakotambia?!
Mimi nina asili ya watu wa Ruanda ila usitoke inje ya topiki Kwa jinsi mulivyoiprizenti mwanza hapa na mimi nilipo uku kuenu mbona ni vitu viwili tofautiSio "mutu", wewe ni mrundi utakuwa, sema "mtu"
Hizo ulizotaja nazani ndio hotel pekee zinazopatika hapa Arusha.Jibu swali acha kuleta mbambamba
Omba omba wapo kila kona hata hapa kwenu usukumani wapo tena wanaomba sana novidaArusha ni jiji pekee unakutana na kijana ananguvu zake anakuomba mia mbili halali muolewe
Hahahaha juzi nilikupa idadi ya hotels zilizopo Chugastan unataka nirudie tena?Hizo ulizotaja nazani ndio hotel pekee zinazopatika hapa Arusha.
Sio"Ruanda" bali ni "Rwanda" 😝😝😝, nimechoka kufundisha hii masai, hapa inatosha kudhihirisha ushamba wenu, kama lugha ya kiswahili hujui unajua lugha gani?Mimi nina asili ya watu wa Ruanda ila usitoke inje ya topiki Kwa jinsi mulivyoiprizenti mwanza hapa na mimi nilipo uku kuenu mbona ni vitu viwili tofauti
Inakuaje mji kama huu munaipa hipe kubwa halafu haina mwingiliano mukubwa wa watu. Unakatiza kwenye daladala konda anauliza kituo kwa kisukuma, unasikia boya kajibu uko kwa kisukuma.
Dah sasa ni vip mwanza ikawa jiji wakati hata dodoma kuna muingiliano mukubwa wa watu
Arusha mmezidi hadi vijana na ndevu zao wanaomba mia mbili.Omba omba wapo kila kona hata hapa kwenu usukumani wapo tena wanaomba sana novida
Unachekesha sana, natamani nikuone kamanda, naona hapo umevaa vile viatu vya matairi, ukiwa na mashuka yenu ya kimasai na pua ikiwa na tundu kubwa ata mguu wa mbuzi unapenya.😂😂😂😂Omba omba wapo kila kona hata hapa kwenu usukumani wapo tena wanaomba sana novida
Impala na gurdoto zimebaki majina. Bahati nzuri Arusha naijua kuliko hata wewe.Iv apa mwanza kwa jinsi navyopaona sidhani kama kuna msukuma anaeza miliki hotel Kama Impala, ngurudoto kwa pamoja imagine izo ni mali za mtu mmoja
Unalala na kuota kufika Mwanza pole sana.Omba omba wapo kila kona hata hapa kwenu usukumani wapo tena wanaomba sana novida
Huyo ni mmasai wa kenya hata kiswahili ni shida.Impala na gurdoto zimebaki majina. Bahati nzuri Arusha naijua kuliko hata wewe.