Busan
JF-Expert Member
- Aug 19, 2022
- 644
- 736
Kuna mtu alikua anaulza Hotel yenye garama ya 500kHyo sehemu haiwezi kufika hapà View attachment 2584299View attachment 2584300
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu alikua anaulza Hotel yenye garama ya 500kHyo sehemu haiwezi kufika hapà View attachment 2584299View attachment 2584300
Sent using Jamii Forums mobile app
TATIZO LA WATU WA MWANZA WAMEKOSA EXPOSURE NDIO TATIZO MKUU.Mwanza watu wake ni washamba sana bro,,,
Yaani ukishukia JKI au magufuli terminal wakajua umetokea mwanza yaani sijui wanakuonaje,
Wakazi wa mwanza ushamba ni jadi
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Hahaha hii kweli ni pazuri nimekubali na bei atleast ndio sehemu pekee apa mwanza penye bei za kimataifa tatizo siyo per day.Hyo sehemu haiwezi kufika hapà View attachment 2584299View attachment 2584300
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado iyo bei iko chini imagine 650k kwa three days tena sikukuuKuna mtu alikua anaulza Hotel yenye garama ya 500k
Mkuu bado ujanipa five stars hotel yeyote ata ya kusingiziwa inayopatikana apa mwanza.😂😂😂😂😂😂 nimechoma panapouma
Hahaha kama London vile imagine hakuna bahari wala ziwa hapo.😀😀Juzi nilikuwa Vacay kidogo ase Arusha watu tuna Enjoy ,sehemu Kali, location Bomba, hali ya hewa nzuri. View attachment 2584219
Mkuu flight ya Dar - Mwanza sijui ni mara ngapi.... Ila hapo jua kuna Dar Bukoba via Mwanza..Wewe ukitaka kujua potential ya Mwanza ingia website ya air tanzania uangalie Flight ya Mwanza-Dar au Dar-Mwanza halafu linganisha na Dar-KIA!
Ushamba ni inferiority ambayo nyinyi mnayo mkizidiwa mnakimbilia kuwaita washamba!
Ulishawahi kujiuliza hao washamba wanafanyaje mambo makubwa kama ni was hamba!
Tena subirini baada ya miaka kumi tunawazidi kila kitu usukumani huku watu wanajenga nyumba kali kuanzia katori,Mwanza,kahala mpaka Simiyu!
Ya kwetu ni KIA na Kisongo ambayo kwa udogo wake inawakalisha kwa traffic na u busy. Shukuruni bukoba haijaboreshwa. Hiyo sio international Airport hapo mwanza, ni takataka tu mshkuruni mwendazake maana kile ki lounge cha mbao ilikuwa ni aibu.Watakuletea kisongo
Arusha kama mbele yani, alafu kipindi cha baridi kama hiki alas! Wakijaga washamba wa mwanza na waluga wanatuliaga yani. Sku moja kuna jamaa wa mwanza nilimkuta barber shop, akasema sikujua kumbe Arusha kuna mitaa wajanja ata dar wanakaa. True Story. Mwanza we dont care about your town, you are irrelevant, not influencial. Focus.Hahaha kama London vile imagine hakuna bahari wala ziwa hapo.😀😀
Arusha is Half London
Geneva Of Africa.
Itakuwa kinywa chako hakina meno meupe, toka lini KIA ikawa Arusha?.Ya kwetu ni KIA na Kisongo ambayo kwa udogo wake inawakalisha kwa traffic na u busy. Shukuruni bukoba haijaboreshwa. Hiyo sio international Airport hapo mwanza, ni takataka tu mshkuruni mwendazake maana kile ki lounge cha mbao ilikuwa ni aibu.
Kwa "yaani" hizi na maandishi haya unajiita mjanja 😂😂😂. Ulimbukeni mzigo.....Mwanza watu wake ni washamba sana bro,,,
Yaani ukishukia JKI au magufuli terminal wakajua umetokea mwanza yaani sijui wanakuonaje,
Wakazi wa mwanza ushamba ni jadi
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Malaika beach [emoji2513] ni nyota ngapi unajuaMkuu bado ujanipa five stars hotel yeyote ata ya kusingiziwa inayopatikana apa mwanza.[emoji23][emoji23][emoji23]
Juzi nilikuwa Vacay kidogo ase Arusha watu tuna Enjoy ,sehemu Kali, location Bomba, hali ya hewa nzuri. View attachment 2584219
Nimecheka sana hii comment [emoji1][emoji1][emoji1]Kwa "yaani" hizi na maandishi haya unajiita mjanja [emoji23][emoji23][emoji23]. Ulimbukeni mzigo.....
[emoji116][emoji2513][emoji2513][emoji2513]Hahaha kama London vile imagine hakuna bahari wala ziwa hapo.[emoji3][emoji3]
Arusha is Half London
Geneva Of Africa.
Hiyo Milioni 1.2 two nights hujaiona?? Na hapo ni bei ya kuanzia Kwa vyumba deluxe Hadi milion 4Hahaha hii kweli ni pazuri nimekubali na bei atleast ndio sehemu pekee apa mwanza penye bei za kimataifa tatizo siyo per day.
Tunataka maeneo Kama aya atleast unaspend $200 per day. He mwanza hayo maeneo yapo.
Achane Naye huyo ngariba.Malaika beach [emoji2513] ni nyota ngapi unajua View attachment 2584809View attachment 2584810
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanza wameshapoteza pambano Kwa Arusha 👇Achane Naye huyo ngariba.