Cha asubuhi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,549
- 2,279
Hiii ni nyasaka ya tabasamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiii ni nyasaka ya tabasamu
This is My Country, Pwani na Dar ndio Tanzania Arusha na Tanga ni Kenya Lake Zone Unganeni na Rwanda🤣🤣🤣🤣, na bado tunajenga ArenaKONK MASTER haha sasa tazama Dar Ina machinga complex Ina Soko la kariakoo ,Ina Soko la kisutu ,magomen n.k Lakin Bado serikali Ina limbikiza miradi kibaoo ..unategemea nchi inafunguka kirahisi[emoji23] ...wakati kuna mikoa ya potential kama Mwanza ,Arusha ,Mbeya na TangaView attachment 2594788
Nmeona hii ad mwenyew najiuliza sana,,,boss Amin viongozi na serikali Kwa ujumla Wana ushamba na ukale sana yaan hapo waliona wakiweka majiji mengine ambayo ata soko TU hamna kiufup at mwanza masoko hatna ukiacha linalojengwa nalo ad mwakan ndo linakamilka lakin dar utashangaa likiisha Hilo wanaanzisha tena.itachukua muda sana huu upuuzi kuishaKONK MASTER haha sasa tazama Dar Ina machinga complex Ina Soko la kariakoo ,Ina Soko la kisutu ,magomen n.k Lakin Bado serikali Ina limbikiza miradi kibaoo ..unategemea nchi inafunguka kirahisi[emoji23] ...wakati kuna mikoa ya potential kama Mwanza ,Arusha ,Mbeya na TangaView attachment 2594788
KuThis is My Country, Pwani na Dar ndio Tanzania Arusha na Tanga ni Kenya Lake Zone Unganeni na Rwanda🤣🤣🤣🤣, na bado tunajenga Arena
Kabisa ingetakiwa kila mkoa uwe na pesa za kujenga miradi yao ..haiwezekan mapato ya sato na Sangara kutoka mwanza inaenda kujengewa Arena dar ,Mapato ya utalii Arusha inaenda kujenga Mwendokasi dar Yani kwamba tz nzima dar ndo kuna folen mikoa Mingine folen hamna wanazingua sanaKweli nakubali Sina pingamiz maana at naona Kwa macho ila hapa dawa ni serikali ya majimbo tuone hyo Dar mapato kama wataongoza maana ni upuuzi TU wanacentralize mapato mgodi upo geita Kodi inalipwa dar wakat Hawa dar ukitoa Bandari hamna Kila kitu
Ku
Mbona mapato ya bandari yanaenda kujenga arusha bypassKabisa ingetakiwa kila mkoa uwe na pesa za kujenga miradi yao ..haiwezekan mapato ya sato na Sangara kutoka mwanza inaenda kujengewa Arena dar ,Mapato ya utalii Arusha inaenda kujenga Mwendokasi dar Yani kwamba tz nzima dar ndo kuna folen mikoa Mingine folen hamna wanazingua sana
Now wanajenga arena halafu walivo waajabu mikoan wanawapa render mnazan mnajengewa kumbe danganya toto mtakaa ata miaka minne ila dar wakisema kinafanyika haraka viwanja vya mpira kama vyote,na arena najiuliza Kwan wakipiga kiwanja Cha mpira Arusha,mbeya na MWANZA bas timu ziwe znachezea at mikoan hususani Simba na yanga lakin Kila kitu dar huu ni upuuzi sana,,Kabisa ingetakiwa kila mkoa uwe na pesa za kujenga miradi yao ..haiwezekan mapato ya sato na Sangara kutoka mwanza inaenda kujengewa Arena dar ,Mapato ya utalii Arusha inaenda kujenga Mwendokasi dar Yani kwamba tz nzima dar ndo kuna folen mikoa Mingine folen hamna wanazingua sana
Tena hii ya Kampuni lipo Geita kodi Dar nachukia sana, Mwenyew naona kila mtu Ale kwa Urefu wa Kamba yakeKweli nakubali Sina pingamiz maana at naona Kwa macho ila hapa dawa ni serikali ya majimbo tuone hyo Dar mapato kama wataongoza maana ni upuuzi TU wanacentralize mapato mgodi upo geita Kodi inalipwa dar wakat Hawa dar ukitoa Bandari hamna Kila kitu
Ku
Arusha bypass ule ni mradi wa Africa masharik mkuu
Hata machinga complex wangejenga pia kwenye majiji kama Mwanza,mbeya , Tanga na Arusha mana hizi zinapopulation sana za watu ...tazama eti dodoma imepewa hadhi ya Jiji juzi nayo saivi Wana mpango wakujengewa complexNow wanajenga arena halafu walivo waajabu mikoan wanawapa render mnazan mnajengewa kumbe danganya toto mtakaa ata miaka minne ila dar wakisema kinafanyika haraka viwanja vya mpira kama vyote,na arena najiuliza Kwan wakipiga kiwanja Cha mpira Arusha,mbeya na MWANZA bas timu ziwe znachezea at mikoan hususani Simba na yanga lakin Kila kitu dar huu ni upuuzi sana,,
Kule mbeya kiwanja kixhachakaa balaa na Ile garden wakaparua nikazan wanajenga au kuweka kitu Cha maana lakin hola,Kuna muda waliongea Kwa mbwembwe kweli wanajenga mall na eneo lipo lakin ad Leo ila dar wakisema ni chapu TU
Angalia machinga wanapigwa marufuku huku mikoani huku Hamna soko la maana la kuwakusanya
Hyo mali inajengwa kama geresha ya kupamba mji ila kuleta faida ni nadra sana .. Ukweli ni kwamba sehemu nyingi kwa sasa ofisi hazina watu kabisa sehemu xa kupanga hata Mall unaweza kuta nafasi watu wengi wamerundika Dar na Mwanza kwa mbali ndo kuna population kubwa ...Hata machinga complex wangejenga pia kwenye majiji kama Mwanza,mbeya , Tanga na Arusha mana hizi zinapopulation sana za watu ...tazama eti dodoma imepewa hadhi ya Jiji juzi nayo saivi Wana mpango wakujengewa complex
Wanastahili kupigwa konzi ya utosi kurestore mafaili Yao pengine yamejamuHata machinga complex wangejenga pia kwenye majiji kama Mwanza,mbeya , Tanga na Arusha mana hizi zinapopulation sana za watu ...tazama eti dodoma imepewa hadhi ya Jiji juzi nayo saivi Wana mpango wakujengewa complex
Ndo hivo soon future ya dodoma ukweli hii awamu ikiisha ndo bas tenaHyo mali inajengwa kama geresha ya kupamba mji ila kuleta faida ni nadra sana .. Ukweli ni kwamba sehemu nyingi kwa sasa ofisi hazina watu kabisa sehemu xa kupanga hata Mall unaweza kuta nafasi watu wengi wamerundika Dar na Mwanza kwa mbali ndo kuna population kubwa ...
Mzee hapa kuna tatizo jiulize bandari ina miaka mingapi pale ndo wamrekebisha juzi yaani hakuna mtu atajali mahali unless pawe kwao ndo uongozi wa bongo....Tanga ya miaka 80's ndo ile ile hakuna jengo jipya na viwanda vinakufa then mtu anakuja "watu wa Tanga wavivu" 😂.Mji wa Tanga wameshagautelekeza now ndo wanakomaa kuboresha Bandari swali je miaka yote hawakujua kuwa hyo Bandari ni potential? Au kjizima data TU.tanzania tumebarikiwa mno kuwa na Bahar,ziwa,madini tena baadhi ya madini adimu Dunia nzimana mbuga za wanyama lakin majiji yake yamekaa kiyatma nchi Iko busy na dsm
Kweli acha wacheze bao maana Kuna viwanda na majengo mazr yaliachwa na mkoloni lakin now ni magofu na viwanda vimekufa,Mzee hapa kuna tatizo jiulize bandari ina miaka mingapi pale ndo wamrekebisha juzi yaani hakuna mtu atajali mahali unless pawe kwao ndo uongozi wa bongo....Tanga ya miaka 80's ndo ile ile hakuna jengo jipya na viwanda vinakufa then mtu anakuja "watu wa Tanga wavivu" 😂.
Kazi hamna acha wacheze bao .
Wataalamu wa render ukihoji watakupa bonge la mchoro wa MACHINGA complex Arusha subili Lin watajenga Sasa,,ila dar wakiomba muda huo kesho inatangazwa tender na mkandarasi anaingia siteHata machinga complex wangejenga pia kwenye majiji kama Mwanza,mbeya , Tanga na Arusha mana hizi zinapopulation sana za watu ...tazama eti dodoma imepewa hadhi ya Jiji juzi nayo saivi Wana mpango wakujengewa complex
Wataalamu wa render ukihoji watakupa bonge la mchoro wa MACHINGA complex Arusha subili Lin watajenga Sasa,,ila dar wakiomba muda huo kesho inatangazwa tender na mkandarasi anaingiaHata machinga complex wangejenga pia kwenye majiji kama Mwanza,mbeya , Tanga na Arusha mana hizi zinapopulation sana za watu ...tazama eti dodoma imepewa hadhi ya Jiji juzi nayo saivi Wana mpango wakujengewa complex